Meneja wa usambazaji maji MORUWASA asimamishwa kazi

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Waziri wa Maji Jumaa Aweso, amemsimamisha kazi, Meneja wa usambazaji maji Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Morogoro (MORUWASA) Eng Thomas Ngulika kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

Waziri Aweso ametangaza uamuazi huo leo Jumanne tarehe 23 Julai 2024 akiwa kwenye ziara ya kikazi ya siku moja Mkoani Morogoro.

Your browser is not able to display this video.

PIA SOMA
- Waziri Aweso: Bwawa la Mindu ni roho ya Wananchi wa Morogoro. Watu kukosa maji wiki 3 Morogoro ni uzembe. MORUWASA Msikae Ofisini
 
Jamaa anajitahidi sana
Hakuna lolote, ifike hatua nayeye awajibike maana kila anapopita kuna madudu ya muda mrefu sasa siku zote anakuwa wapi kushughulikia tatizo hadi linawasumbua wananchi kwa muda mrefu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…