Tetesi: Menejimenti ya PSSSF imeshindwa kabla ya kuanza kazi

Tetesi: Menejimenti ya PSSSF imeshindwa kabla ya kuanza kazi

Gamboshi-

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2018
Posts
312
Reaction score
730
Wanabodi,
Pamoja na Nia Njema ya Rais Wetu JPM kuunda PSSSF ili kuboresha mafao ya wastaafu na watumishi wa umma.kuna tetesi kuwa menejimenti hiyo haipo focused na madai mbalimbali ya watumishi yamerundikana wakati menejimenti hiyo imejikita kwenye kusafiri na kusaka posho. Inasemekana mawasiliano kati ya menejimenti hiyo iliyopo DOM na matawi yake yapo hoi bin taaban kiasi cha ku-paralyze shughuli katika matawi hayo ya kila mkoa hivyo kuwafanya wanaofuatilia mafao mbalimbali kuwa frustrated bila msaada.Nawashauri SSRA kutupia jicho uongozi huo mbovu kabla JPM hajawatumbua
 
Wanabodi,
Pamoja na Nia Njema ya Rais Wetu JPM kuunda PSSSF ili kuboresha mafao ya wastaafu na watumishi wa umma.kuna tetesi kuwa menejimenti hiyo haipo focused na madai mbalimbali ya watumishi yamerundikana wakati menejimenti hiyo imejikita kwenye kusafiri na kusaka posho. Inasemekana mawasiliano kati ya menejimenti hiyo iliyopo DOM na matawi yake yapo hoi bin taaban kiasi cha ku-paralyze shughuli katika matawi hayo ya kila mkoa hivyo kuwafanya wanaofuatilia mafao mbalimbali kuwa frustrated bila msaada.Nawashauri SSRA kutupia jicho uongozi huo mbovu kabla JPM hajawatumbua
Usimsifu rais, walioacha mifuko hii iwe searate hawakuwa wajinga. This is going to make a funeral for retirees!
 
Tatizo ni kutumia social security funds na kushindwa kurudisha. Pesa zikirudi, wastaafu watalipwa.
 
Hata kama pesa zimetumika,basi huo uongozi wa PSSSF waonyeshe weledi wao wa kutumia hicho kidogo,badala ya kushinda wanazurura na kuonyesha poor performance
 
Pesa zote badala zingewekezwa kwenye majengo, Terminal, vitega uchumi vinavyotunisha mfuko, Kichaa jiwe hela zote anataka zikajengewe viwanda hewa, SGR na naniliu
 
Shida ni uongozi uliopo sasa PSSSF hawana Urgency wala focus wanakwenda Shaghala baghala,hata Special Schemes zilizokuwa managed vizuri na mifuko iliyounganishwa,wao wameshindwa kuzitendea haki
 
Kiukweli sikuona faida ya kuungana au kuunganisha naona itapunguza weledi wa hiyo mifuko kufanya kazi maana wanajua watapata wateja tu
 
Usimsifu rais, walioacha mifuko hii iwe searate hawakuwa wajinga. This is going to make a funeral for retirees!
Acha ujinga wako, fuatilia ujue nani ameiua hiyo mifuko ndugu usikurupuke kurupuke tu ili mradi umeongea. Magufuli amekuta NSSF na PPF iko taabani hilo liko wazi, so yeye amefanya kuiokoa baada ya mtangulizi wake kuchota fedha bila akili eti wanawekeza, huku uwekezaji huo ukienda kwenye white elephant.
 
Acha ujinga wako, fuatilia ujue nani ameiua hiyo mifuko ndugu usikurupuke kurupuke tu ili mradi umeongea. Magufuli amekuta NSSF na PPF iko taabani hilo liko wazi, so yeye amefanya kuiokoa baada ya mtangulizi wake kuchota fedha bila akili eti wanawekeza, huku uwekezaji huo ukienda kwenye white elephant.
Sitaki matusi, andiko langu halina tusi. Basi nami nakutukana bila hata kusoma post yako. Mjinga ni mama yako!
 
Hivi raisi bado hajawaona hawa PSSSF akawatumbua? Kama imeshindikana basi turudishieni pspf zetu twendelee nazo
 
Back
Top Bottom