Hapo ndipo anapokosea.JK hawezi kuwa inspiration ya mapambano dhidi ya ufisadi.Instead,yeye ni sehemu muhimu ya ustawi wa mafisadi.
Anaposema JK anamaanisha Julius Kambarage Nyerere siye huyu aliyefutikwa mifukoni mwa mapapa wa mafisadi.
Politics!
Tangu mwanzo tulishakuwa na wasiwasi nae! there is no way ukamtaja JK, wakati kwawekwa na KAGODA, then ukasema RA fisadi JK msafi, there is no way!
mlioupande wake haya na nyie JK anapigana na mafisadi? miaka minne sasa! tunaposema JF ni critical thinkers nadhani kila mmoja awe prpud na hii motto, then you have to show and lead! sio kuchukuliwa na upepo.
There is no way Mengi leo aliyeua vyama vya siasa akaonekana shujaa! no way kama hujui go back 1994/1995 !!
Nakumbuka ITV ilikuwa ikionyesha picha za mauaji ya Rwanda na wakieleza kuwa wananchi wakichagua upinzani tanzania itakuwa na mauaji kama hayo.
Lakini mi nadhani hapa ilikuwa ni suala la biashara kwa sababu matangazo yale yalikuwa yanalipiwa na CCM
Fisadi Mengi apewa kiburi na Mwenyekiti wa Chama cha Mafisadi. Amedhihirisha kuwa he is one of them fisadis. Halafu mnamwita mpiganaji, mpiganaji vita dhidi ya ufisadi.
Kawaruka kweupeee kalaghabaho.
Politics!
Tangu mwanzo tulishakuwa na wasiwasi nae! there is no way ukamtaja JK, wakati kwawekwa na KAGODA, then ukasema RA fisadi JK msafi, there is no way!
mlioupande wake haya na nyie JK anapigana na mafisadi? miaka minne sasa! tunaposema JF ni critical thinkers nadhani kila mmoja awe prpud na hii motto, then you have to show and lead! sio kuchukuliwa na upepo.
There is no way Mengi leo aliyeua vyama vya siasa akaonekana shujaa! no way kama hujui go back 1994/1995 !!