alafu kweli!!!!!!!!! bakhressa vipi, au ndo hataki kujionesha???
Mengi deserves it. Hongera zake.
Lakini wako Wabongo wengi wenye asili ya Kiasia ambao wameachwa kwenye list ya Forbes. Wako kina Mohamed Enterprises,yuko Yusuf Manji,Sabodo,n.k.
Pengine ni muhimu kujua Forbes wametumia vigezo gani kuchagua hiyo orodha yao.
Nakumbuka siku moja nilikuwa nazungumza na mfanyabiashara mmoja mwenye asili ya kiasia na tukagusia habari ya mvutano wa Manji na Mengi. Yule m-asia alinishangaza kwa kusema maneno yafuatayo,''Hii Mengi bana iko pesa mingi na yeye nafanya biashara zake kisomi,ogopa sana hii Mengi.Yeye hapana longolongo kwenye biashara zake." Mimi nikabaki mdomo wazi!
Mtu kama Manji pesa zake ni za kimchoro mchoro. Nakumbuka habari moja kwamba alinunua jengo la PPF kwa bilioni kadhaa,kama sikosei it was less than 10b/= ,akarikarabati jengo hilo hilo kwa some few bilioni,not more than 30b/= halafu akawauzia tena haohao PPF kwa bilioni zaidi ya 80! Kuna maswala ya EPA na Kagoda,n.k
Kwahiyo inaonekana hata wafanya biashara wenzake wanajua Mengi yuko juu. Most of Indian-origin businessmen wanafanya biashara zao kiujanja ujanja kwa maana ya kukwepa KODI aidha kwa kuwahonga maofisa wa TRA au kupita njia za panya.Most of these guys wana uraia wa nchi 2 au 3 kwa hiyo wakti mwingine si rahisi kujua ni Raia wa Tz,UK,USA au Canada.