Mengi: Kwanini nimemuoa K-lynn

Mengi kumbe utajiri wote ule alikuwa hawahi kupata furaha ya ndoa!! Msichana mwingine mjinga angedhani sasa ndio muda wa kuwa na mabeki3 100!!
 
Ht ingekua mimI..chezea midolar...kwann nisipritend kuwa mke bora....
 
K lyn love money
Money love Mengi
kwa mahesabu na mlinganyo sahihi lazima K lyn atampenda mengi tu

Kama sio mwanahisabati huwezi kulijua hili
KLyn Love money.........(1)
Money Love Mengi........(2)
Equation (1)-(2) Gives " KLyn Love Mengi"
 
To each his own, but dayuuum.

I think he is just nasty old man.

As for her, I am at a loss for words......
 
Sitaki kuwa offensive lakini come on people kumfulia mtu nguo baada ya kutia kwenye mashine ndo mapenzi??sasa mashine zina kazi gani?Hata ukitia kwenye mashine ukaiset on na kuanika/kukausha mpaka kupigwa pasi pia umefua vilevile :lol:Maana umeiprocess through the whole procedure!!Labda hapo kwenye kupika na kutambua wajibu wake kama mwanamke nakubali!!
 
Duh kumbe bado anapenda usultani, dunia ya leo bado anahamasisha kufuliwa nguo kupikiwa? raha ya mapenzi kusaidiana na katika hili yeye anaeeza kumfulia pichu yfu wake wakati mwenzake anampikia.

Kwa hili wengi tutofautiana misimamo, lkn ukweli unabaki pale pale kwamba chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika na kuvurugika na kuharibika ni kukosa unyenyekevu kwa wanawake......na kukosa uaminifu wanaume.....
 
Yupo sahihi,kuna wanawake wengi ila kumpata mke ni shughuli...sasa kama wanawake aliokuwa nao hata kupika chai hawajui wao wanataka kula hotelini,kwa nini asione raha sasa kupewa alichokuwa anahitaji?

Ndoa siyo kuingia ndani kutwa nzima kushinda na remote huku unachart, wewe ni admin katika magroup kama 10 hivi na kila mada unataka uchangie, akili za kuwaza uchumi huna unachojua wewe ni viwanja vipya kwa ajili ya kutumbua...

Kama akili za kushauri mfungue kitega uchumi kipya huna, ili uonekane una maana yakupasa kufanya hata kazi za ndani ambazo zingefanyika sehemu nyingine kwa gharama na ufanisi mdogo...

Vyovyote utavyosema kuhusu Mengi alichokiosema kuhusu mkewe, UKWELI ni kuwa MWANAUME yeyote haswa katika bara la Africa anahitaji mwanamke anayeweza kumudu kazi zote za ndani,maana yake kama unaweza kunihudumia kwa mikono yako basi upendo wa dhati utajengwa nakukua kati yetu hata kama ulifuata mali..

Wewe endekeza mapenzi ya kwenye tamthilia na roho yako ya gubu,maisha yanasonga unazeeka kabla ya muda nakufa mapema kwa sababu ya msongo wa mawazo...
 
Mimi Naona PUA Yake Tu Lakini Hoja Zake Za Msingi Sizioni. Naombeni Msaada Tafadhali!

mkuu si vizur kukosoa maumbile ya mtuu, ndivyo alivyo umbwa..hata wewe sidhan ukikosolewa au kutolewa kasoro maumbile yako sijui utajisikiajee..cha msingi nenda kwenye hoja kama hujaipenda kosoa kwa namna nyingine na sio kukashifu maumbile yake.
 
mkuu si vizur kukosoa maumbile ya mtuu, ndivyo alivyo umbwa..hata wewe sidhan ukikosolewa au kutolewa kasoro maumbile yako sijui utajisikiajee..cha msingi nenda kwenye hoja kama hujaipenda kosoa kwa namna nyingine na sio kukashifu maumbile yake.

Mimi Mbona Kasoro Yangu Kubwa Ni Umasikini Na Hata Mtu Akinipiga Dongo Kuwa Mimi Ni Masikini SICHUKII? Hizo Pesa Akapunguze Mpua!
 
Mwanamke smart lazima aende kwa mwanaume smart.... No pesa no smartness.... Sasa nyie mnaosema kafata pesa unataka aende kwa masharo uchwara... ile ndo level yake....

Kila mmoja aende kwa level zake, mi mwenyewe nkitaka kuoa ntaangalia kwanza wa level yangu...... Kamtu kamekula mitoso buku ndani ya wiki hela hakana, stress kibao... kakiona wenzake wanachukua kazikulalamika wanawake wanapenda hela tu.....

Oa ugharamike sio unaoa wa kukusaidia kuhandle umaskini wako..... Tuma message wewe mabillionea tuongezeke bwana....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…