tabata segerea ilivunja ndoa daaah ilikuwa kama moviekama hajamtaliki ana uhalali gani wa kuoana na huyu dada wakat ndoa yake ni halali?
Upo juu mkuu, huo mlinganyo upo sahihi na inaonekana wanawake wengi wanashindwa kuurahisisha huo mlinganyo na ndio maana wana ishia kupenda pesa na mwishowe wanatemwa. Ha ha ha haaaa..K lyn love money
Money love Mengi
kwa mahesabu na mlinganyo sahihi lazima K lyn atampenda mengi tu
Kama sio mwanahisabati huwezi kulijua hili
Hakuna mwanamume asiependa kuheshimiwa na kunyenyekewa, na hata maandiko yanasema wanaume wapendeni wake zenu na wanawake waheshimuni waume zenu.Kwa kauli yake ya kusema yuko tofauti na wanawake wengine aliowahi kuwa nao maana yake amekua anaonja wanawake kama wanavyoonja pombe ya kienyeji kilabuni. Huyu ni lambalamba. Binadamu halinganishwi na mwingine kila mtu ana uzuri wake na ubaya wake bahati mbaya uzuri wa huyu ndiyo ubaya wa yule.
Kwa mtazamo wangu, Mengi anataka ufahari wa kuoa Miss Tanzania na sio ndoa bora, anataka mtu wa kumnyenyekea sio msaidizi kama maandiko yanavyosema na wazi Jakline atanyenyekea (mtaka cha uvunguni sharti ainame). Jackline anataka pesa hakuna mapenzi pale ila mambo mengi yanayotendwa hayasemwi nayanayosemwa hatendwi.
Akili ndogo bana, K'lyn ni mjanja sio kama wanawake wengine wasio jitambua. K'lyn anaonesha Mapenzi yake kwa Mengi na sio kuonesha mapenzi yake kwa Fedha za Mengi au Jina la Mengi, Anajua kabisa akiupata Moyo wa Mengi hayo mengine atazidishiwa zaidi na zaidi. Walio pita walikua wanatolea mimacho pesa na wakaishiwa kutiwa na kuachwa. Tumia akili dada la sivyo utaishia kugongwa na kukimbiwa na hata baadae utapata magonjwa.Eti nini??? Hajakimbilia pesa kwake?? Kumbe kilivhomleta kwako nini?? Kupika na kupiga pasi?? Kweli uzito wa pua umemzidi hadi hajielewi!!
Ndio Maana FaizaFoxy ana waulizaga Shuleni mnaenda kufanya nini!?Kwahiyo furaha yake ni kuona klyn anafua minguo kwa mikono wakati mashine zipo? Anyway, mambo mengine tuwaachie baba na mama
Inshallah mwenyezi mungu awape masikizano...Huyo ni mke wa pili, muombea due na mke mkubwa.
Tupe movie ilo mkuu lilikuwaje?tabata segerea ilivunja ndoa daaah ilikuwa kama movie
Kigoma moja huyo, ni muha.Mtoto wa kihaya mauno yamemchanganya mzee
matters of calculation!
Dk. Reginald Mengi akiwa na Familia yake
Dr. Reginald Mengi alipoulizwa kwanini umemuoa Jackline alijubu hivi: Nimemwoa Jackline kwasababu yuko tofauti na wanawake wengine ambao nimeshawahi kuwa nao.
1. Jackline ananipikia chakula kuanzia chai, lunch mpaka dinner.
2. Jackline ananifulia nguo zangu kwa mikono yake sio mashine
3.Jackline anajua nafasi ya mwanaume na nafasi ya mwanamke kwenye nyumba.
4. Jackline ananipenda ndio mana ananifanyia vitu ambavyo wanaume wengi tunapenda kufanyiwa hasa unyenyekevu wake kwangu.
5. Jackline tofauti na watu wengi wanavyomchukulia hakufuata pesa kwangu bali ana mapenzi ya dhati na mimi.
SOMO LA UJUMBE HUU.
Kama wewe ni mwanamke na umeolewaTafadhali TAFAKARI NA CHUKUA HATUA ZA HARAKA KUIMARISHA NDOA YAKO.
Chanzo: Blogu ya Wananchi
No dirt will
Your submission summarizes everything! Brilliant!
mkuu si vizur kukosoa maumbile ya mtuu, ndivyo alivyo umbwa..hata wewe sidhan ukikosolewa au kutolewa kasoro maumbile yako sijui utajisikiajee..cha msingi nenda kwenye hoja kama hujaipenda kosoa kwa namna nyingine na sio kukashifu maumbile yake.