Mengi yaibuka kiwango cha Simba kwenye mashindano ya kombe la Mapinduzi

Basi nyamazeni tuone mtakavyochukua kombe,siyo kelele nyingi kabla ya matokeo.Na msipochukua kombe mrudi hapa kutoa sababu kwanini mmeshindwa.Vyura mnakelele nyie.
 
Omog anacheza kwa malengo.Nguvu nyingi ya nini kwenye ligi ambayo kila baada ya siku moja mechi.Anachofanya ni sahihi kuwapa nafasi wachezaji wote kucheza ili wapumzike.Hatua ngumu zinakuja na ligi ya vpl nayo inatusubiri.Simba itabeba kombe
 
Kila timu inayocheza na simba kwa sasa ilishajeruhiwa hivyo sitashangaa simba kupata ushindi kiduchu.Zingatia pia malengo ya kocha
 
Habari zilizonifikia hivi punde kutoka chanzo changu cha habari cha uhakika kabisa kilichopo karibu na benchi la ufundi,muda huu...ikiwa ni muda mfupi kabla ya team ya Wananchi kushuka uwanjani kuwaonyesha Wazanzibar namna soka la ushindani linavyochezwa kumeibuka pande 2 zonazovutana kuhusiana ni kwa namna gn wanaweza kufanya ili wakutane na Simba katika ktk kipindi hiki wanapoonekana kucheza mpira mbovu,wako wanaotaka kwa kuwa Simba inaweza ikashika nafasi ya kwanza kwenye kundi lao bas Yanga ihakikishe inashika nafas ya 2 ili wakutane kwenye nusu fainali wakiamini kwa sambusa zinazopigwa na Vijana wa Lwandamina Vs butua'butua za kina Lufunga hiki ni kipindi muafaka cha kulipa zile 5 au 6..
Hata hivyo benchi la ufundi limetupilia mbali mkakati huo kwa kusema hawajapeleka team Zanzibar kuwatafuta Simba bali ni sehemu yao ya maandalizi kabla hawajaanza kucheza mechi zao za kimataifa,hivyo kuwataka Wachezaji kutekereza kile wanachowaelekeza Uwanjani.
WAZEE WA POVU,NINI MAONI YENU?
 
Kwa kocha mwenye akili michuano hii haihitaji nguvu kubwa kwenye hatua za awali bali pale tu inapolazimu.Yanga hua wanatumia nguvu nyingi ndo mana hatua za mbele wanapigwa.Hatua za awali kila baada ya siku moja mechi kwa nn timu inayotumia nguvu kubwa mwanzoni isichoke?Na ndo mana simba ndo timu pekee iloingia fainali ya kombe la mapinduzi mara nyingi na kubeba kombe mara nyingi zaidi kuliko timu yoyote.Simba wana timing nzuri kuliko yanga
 
U missing point Brother...
Ni kweli Simba ndo team iliyoingia nusu fainali na kutwaa kombe hili mara nyingi kuliko team zingine alikwa kwenye mashindano hayo lkn sbb cyo kuwa eti hawatumiagi nguvu nyingi mwanzoni bali ni ksbb ktk miaka ya karibuni limekuwa ni kombe pekee linalowafuta machozi,baada ya Makombe mengine kugoma kuchukulika na rejea mara zote walizofika nusu fainali au kuchukua kombe utaona walivyokuwa wanakomaa
 
Mkuu.. wala usipate taabu kuleta tathimini hapa, waache watumie nguvu nyingi, hawana walijualo zaidi ya kuruka ruka tu uwanjani kama ilivyo Vyura FC

Uliwahi sikia timu inakodishwa...?
 
Nadhani kulingana na coment yako tu umekubaliana namm kua simba inatumia nguvu zaidi kwenye hatua muhimu zaidi ikiwemo hatua za nusu fainali.
 
Goli la mikia vs ruvu shooting na goli la mikia vs kvz takukuru inabidi wayaangalie kiundani zaidi
 
ushindi .....?fear of failure. ...
 
kuna tofauti kubwa sana unapofanya mapenzi na mke wako au changudoa/kahaba...
nimewasilisha...
 
Kweli Simba inaonesha kiwango duni sana, ktk mechi mbili za Mapinduzi Cup wamekuwa na ball possession ndogo sana ya 59 :41 mara zote mbili huku wakikosa nafasi za wazi 10 na kuendelea kwa kila mechi.

Kuwa na ball possession kubwa ktk mechi ni indicator mpya ya kuonesha kiwango kibovu kabisa. Lazima wajirekebishe
 
Baada ya michuano hii kuisha tutafutane kaka simba sio wajinga kesho angalia mpira wake na ura
 
Baada ya michuano hii kuisha tutafutane kaka simba sio wajinga kesho angalia mpira wake na ura

Nakuelewa sana lakini ukinisoma vzr utagundua msimamo wangu. Haiwezekani timu inayomiliki mpira kwa zaidi ya 59% kwa mechi zote ilizocheza na kutengeneza nafasi zaidi ya 10 idaiwe kuwa iko chini ya kiwango. Eti iko ktk fomu mbaya wakati kocha anatengeneza partnership mpya
 
Baba Kiki kuwa na position kubwa peke yake cyo indicator ya kuwa team iko kwenye form,kuwa kwenye form kunathibitishwa zaidi na ushindi clear..kufunga magoli yatokanayo na mipango madhubuti cyo ya ku'flukuX2...na nikushukuru kwa kuniongezea input nyingine inayothibitisha jinsi Simba ilivyo chovu,team haiwezi kutengeneza nafasi zaidi ya 10 ikafunga kagoli kamoja hlf ukasema iko vizuri,kuwa vizuri ni pamoja na ku'utilize to the maximum chances za kufunga zinazotengenezwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…