Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Wazee wanasema "Meno anayotumia mbwa kucheza na wewe ndio hayo hayo yatakayo tumika kukuuma utakapo mkanyaga mkia".
Waweza kuumizwa na mtu ambaye unampenda mnoo mpaka ukashangaa na kujiuliza hivi ni huyu huyu kweli amenitendea hivi?
Kile unachokipenda sana chaweza kukuumiza sana vile vile. Usimue mbwa, alikuwa anatetea mkia wake kwasababu ya maumivu uliosababisha pengine bila ya wewe kujua.
Mtu mwenye nguvu sio yule anayepigana na kila mtu bali ni yule mwenye uwezo wakuzishinda hasira zake😋* Pocco
Hivi ukiiba ngoma ya raisi utaenda kuichezea kijiji gani ili asijue?😝eti ni kweli Moshi wa nyama inayochomwa huwa hauumizi macho ya mtu mwenye njaa?😝🏃🏾♂️
Waweza kuumizwa na mtu ambaye unampenda mnoo mpaka ukashangaa na kujiuliza hivi ni huyu huyu kweli amenitendea hivi?
Kile unachokipenda sana chaweza kukuumiza sana vile vile. Usimue mbwa, alikuwa anatetea mkia wake kwasababu ya maumivu uliosababisha pengine bila ya wewe kujua.
Mtu mwenye nguvu sio yule anayepigana na kila mtu bali ni yule mwenye uwezo wakuzishinda hasira zake😋* Pocco
Hivi ukiiba ngoma ya raisi utaenda kuichezea kijiji gani ili asijue?😝eti ni kweli Moshi wa nyama inayochomwa huwa hauumizi macho ya mtu mwenye njaa?😝🏃🏾♂️