Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 Nov 12, 2010 #1 Wadau wa afya! Mwanangu kaotea meno mawili ya mbele ndani ya fizi; ana umri wa miaka 5 na hajawahi kutoa meno. Nifanye nini na je kuna madhara gani mbeleni?
Wadau wa afya! Mwanangu kaotea meno mawili ya mbele ndani ya fizi; ana umri wa miaka 5 na hajawahi kutoa meno. Nifanye nini na je kuna madhara gani mbeleni?
Z ZALIKA HUSSEIN New Member Joined Nov 12, 2010 Posts 1 Reaction score 0 Nov 12, 2010 #2 ushauri wangu mpeleke hospital,
Masikini_Jeuri JF-Expert Member Joined Jan 19, 2010 Posts 6,829 Reaction score 1,303 Nov 12, 2010 Thread starter #3 Thats one lakini pia ningependa kujua kama kuna waliowahi ku experirnce hii kitu...........