Katika hali siyokuwa ya kawaida jamaa yangu anapolala anatoa mate yenye damu na mto anaolalia + mashuka yanakuwa na hali mbaya kama yamevujiwa na damu ambayo akifua shuka/fornya madoa ya damu hayatoki mpaka kwa jick, lakini hayamuumi, ameshang'oa meno 2 katika umri wa miaka 50 hebu tusaidiane wakuu