habar zenu wana jm forum, na matatizo ya kuachia kwa meno yana acha njia au uwazi kadri siku zinapoenda, na hili tatizo sio mimi tu hadi dada yangu wa tumbo moja pia meno yako hivyo hivyo mimi ndyo yanaanza yeye ndyo yameacha uwazi kama katoa jino. Naomben msaada jamn nifanyaje au kuna dawa maalamu