komredi ngosha
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 382
- 71
una siku ngapi tangu walitoe.
siku moja ni mapema sana,inaweza kuchukua hata wiki,na zaidi,aliyekungoa alitumia nguvu nyingi sana,tumia tu dawa ya maumivu, iyo hali itakwisha.
the same to me thanx nimepata mawazo
Nawashauri muende pale BOCHI MEDICAL CENTRE-Mbezi Kwa Msuguri,kuna daktari specialist wa meno.
Nimetibiwa pale toka miezi kadhaa imepita cjackia tena maumivu..