dokolombwike
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 373
- 616
Habar ya asubuhi wandugu,nna tatizo la meno,meno yangu yananisumbua sana,yaan yanauma kimwendokasimwendokasi,yaan kama leo cjalala kabisa.tatizo ni meno ya mbele yameoza na ndo yanayouma,waswas wangu nikiyatoa ntakosa reception,naomba ushaur wa dawa ya kutumia bila kuyatoa, pia kama kunasehem wanatoa huduma ya kuweka ya bandia lakin yawe meupe sio kama yale ya akina birdmen.natanguliza shukrani