Meno yanayoweza kukutoa duniani wakati wa kun'goa

Meno yanayoweza kukutoa duniani wakati wa kun'goa

nandembako

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
655
Reaction score
526
Habari wana jamvi...

Mwenzenu nina tatizo ambalo nilifanyaga uzembe nikiwa mdogo,jino la juu upande wa kushoto katikati lililegea nikajiakiacha sikulitoa...baada ya muda mchache jino jingine likajitokeza na lile likilolegea likajishika tena so yakawa mawili sehemu moja,ila jingine likatokea upande mwingine..sasa naona nahitaji kulitoa moja ama yote maana yameoza na wakati mwingine yanauma sana....je kwa location yaliyopo kuna athari gani yaweza kutokea?

Asanteni sana ndugu zangu
 
wakati wa kung'oa sio kutoa..
Nenda kwa madaktari wa meno waka kung'oe wala huwezi kukata roho.
 
Habari wana jamvi....mwenzenu nina tatizo ambalo nilifanyaga udhembe nikiwa mdogo,jino la juu upande wa kushoto katikati lililegea nikajiakiacha sikulitoa...baada ya muda mchache jino jingine likajitokeza na lile likilolegea likajishika tena so yakawa mawili sehemu moja,ila jingine likatokea upande mwingine....sasa naona nahitaji kulitoa moja ama yote maana yameoza na wakati mwingine yanauma sana....je kwa location yaliyopo kuna athari gani yaweza kutokea?!!!asanteni sana ndugu zangu

katika mada yako unauliza au unatoa maelezo? Please....
 
Habari wana jamvi...

Mwenzenu nina tatizo ambalo nilifanyaga uzembe nikiwa mdogo,jino la juu upande wa kushoto katikati lililegea nikajiakiacha sikulitoa...baada ya muda mchache jino jingine likajitokeza na lile likilolegea likajishika tena so yakawa mawili sehemu moja,ila jingine likatokea upande mwingine..sasa naona nahitaji kulitoa moja ama yote maana yameoza na wakati mwingine yanauma sana....je kwa location yaliyopo kuna athari gani yaweza kutokea?

Asanteni sana ndugu zangu

Ungekua Mwanza ningekupa maelekezo sasa hv kwa madaktari wazuri uende,sa sijui upo wapi
 
Gilbert Sanga a.k a Gillbiz hebu sogea pande hizi.
Waite pia Angela Mwakimonga, David Isaya na Cyprian Phillip Elias waje hapa mjitetee na udento wenu
 
Ungekua Mwanza ningekupa maelekezo sasa hv kwa madaktari wazuri uende,sa sijui upo wapi

Mimi Nipo mwanza mkuu. Nasumbuliwa na meno wapi Wana huduma nzuri nataka kuziba.
 
kama ni Dar ungeenda kinondoni hospital MAARUFU kwa Dr mvungi.. Mara ya kwanza kutolewa jino na kutosikia maumivu

Dr aliniambia ukitolewa jino ustahili kusikia maumivu

lilikua jino langu la Tatu kutoa..niliwai kutoa sinza palestina..karibu waniue..damu zilivuja kutoka saa mbili asubuhi hadi saa 10 jion
 
Mimi Nipo mwanza mkuu. Nasumbuliwa na meno wapi Wana huduma nzuri nataka kuziba.

Nenda Hope Dental center,mbele kidogo ya ofc za jiji kuelekea Isamilo,wako vzr sana hua natibiwa hapo naijua huduma yao
 
Uwiii......hebu semeni maana sitaki kufwa you know.........nina jino matata sana la juu......
 
Jino Juu linatakiwa mtaalamu kulitoa ,ulikifanyika kosa jicho pia mdomo waweza kupooza,nilitoa jino mwaka 2007 ,huwa sitaki kuikumbuka ,infection katika jino la tatu kutoka mwisho baada ya kutolewa na Dawa nilipewa ila baada ya siku saba nilianza kuhisi kuna shida ,nilishakwa na chafya ndipo nilipobaini hali ni mbaya ,huezi amini Usaha ulitokea pua ya kushoto niliishiwa ?guvu,na nilikuwa na uwezo wa kunywa m?ji na kuyatolea pua ya kushoto ,nilipitiwa tiba hospital ya Mkomaindo Masasi ,jino nilitolewa mwanza ,PRETA sikutishi ila iko hivyo
 
Back
Top Bottom