Meno yangu yametoboka, nifanyeje?

FALSAFA

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
293
Reaction score
58
Ndugu Zangu Wanadokta Wa Jamii Mi Nina Tatizo La Meno Yangu Kuoza Mawili Katika Taya Ya Juu Yananifanya Kuhisi Aibu Nichekapo Kwa Sababu Ya Weusi Wake Katikati Ya Meno Mahali Ambapo Pameoza.kwa Hiyo Nifanyeje Ili Meno Ya Zibwe Na Weusi Usionekane Pamoja Na Matundo.MSAADA KWENU WANAJAMII.
 
siku hizi wanajaza risasi nenda wakujaze ila mimi nakushauri ukang'oe mana dawa ya jino siijui zaid ya hiyo halafu unaweza kuweka la plastic pia kaonane na specialist
 
Ni kuziba na cement ili yasiendelee kutoboka kwani usipoziba ufa utajenga ukuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…