Men's talk: Kwenye kupanga first date, mualike mdada ghetto kwako, kama hataki muache

nimekuelewa mkuu ...naahidi sitokuangusha kuanzia 2022
 
Kunya Kama ng'ombe aisee nimecheka Sana all in all mtoa maada shukrani nitaufanyia kazi ushauri wako ingawaje nimewah kuufanyia kazi nikaambulia manyoya ila nitaendelea kukomaa nao ...tubuni Dhambi yesu anarudi
 
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utulivu ghettoni kwangu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeanza kutafuna jani na weye?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]haya basi.. Tusiendelee..[emoji28][emoji28]
 
Hii ni HELA, Mkuu!
Hatuwezi igawa gawa tu kana kwamba tunagawa Ujugu au Big G kijiweni.

Tukishaishiwa nyie ndiyo mnakuwa wa kwanza kutunanga kwenye vijiwe vyenu vya ususi kwamba yule ex wangu kachakaa hana jipya.

Kwa hiyo wanaume HELA wanaitoa ila kwa mahesabu makali sana.
Dinazarde
 
Hii ni HELA, Mkuu!
Hatuwezi igawa gawa tu kana kwamba tunagawa Ujugu au Big G kijiweni.

Tukishaishiwa nyie ndiyo mnakuwa wa kwanza kutunanga kwenye vijiwe vyenu vya ususi kwamba yule ex wangu kachakaa hana jipya.

Kwa hiyo wanaume HELA wanaitoa ila kwa mahesabu makali sana.
Dinazarde
 
Hii ni HELA, Mkuu!
Hatuwezi igawa gawa tu kana kwamba tunagawa Ujugu au Big G kijiweni.

Tukishaishiwa nyie ndiyo mnakuwa wa kwanza kutunanga kwenye vijiwe vyenu vya ususi kwamba yule ex wangu kachakaa hana jipya.

Kwa hiyo wanaume HELA wanaitoa ila kwa mahesabu makali sana.
Dinazarde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…