Men's talk: Kwenye kupanga first date, mualike mdada ghetto kwako, kama hataki muache

Hii ni HELA, Mkuu!
Hatuwezi igawa gawa tu kana kwamba tunagawa Ujugu au Big G kijiweni.

Tukishaishiwa nyie ndiyo mnakuwa wa kwanza kutunanga kwenye vijiwe vyenu vya ususi kwamba yule ex wangu kachakaa hana jipya.

Kwa hiyo wanaume HELA wanaitoa ila kwa mahesabu makali sana.
Dinazarde
 
Hii ni HELA, Mkuu!
Hatuwezi igawa gawa tu kana kwamba tunagawa Ujugu au Big G kijiweni.

Tukishaishiwa nyie ndiyo mnakuwa wa kwanza kutunanga kwenye vijiwe vyenu vya ususi kwamba yule ex wangu kachakaa hana jipya.

Kwa hiyo wanaume HELA wanaitoa ila kwa mahesabu makali sana.
Dinazarde
 
Mapagala yasiyo na siafu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yani day wani tu, utepe unaenda kukatiwa kwenye pagala?? Serikali iingilie kati, hili swala sio la kukalia kimya
 



Ulikosea mjuba ulianza kucheza mpira kabla ya kipyenga kupulizwa, umekula hasara hata chuchu hukugusa
 
Hamna mwanamke wakuja geto kwako haraka hivyo labda Kama ni dada poa nae pia anaweza ogopa vile vile kupigwa matukio

Kama utapata mwanamke day one akaanza kukupiga mzinga jaribu kukaa nae zungumza nae mipango yake malengo yako kwake mahali ulipo kimaisha na kazi unayofanya itapendeza zaidi ukimdanganya

Muulize mahitaji yake yote madogo madogo aliyokwama mpambanie yaliyo ndani ya uwezo wako hii itakusaidia kupunguza mizinga ya mara kwa mara sababu atakuwa amesha kuamini na atakupenda sana atakuwa huru kukupa Hawa dada zetu kuna muda huwa wanakutana na ukata inafik mahali ata nguo za ndani anashindwa kununua
 
Jamaa unaandika vibaya sijapata ona
 
Kwa kiasi Fulani nimemuelewa mtoa mada. Ila hii Mara nyingi inamaana zaidi kwa vijana ambao ndo wanaanza kutafuta na sio kwa wenye maisha tayari.

Mfano upande wangu nmejiwekea utaratibu msichana nikianza kumfukuzia basi nahakikisha ndani ya wiki kuanzia siku niliyoanza kumfukuzia niwe nimeshamla. Hivyo nsjikuta sijatumia gharama kubwa katika mchakato wa kumpata.

Ila wanawake hawafanani kuna class ambayo ili uipate lazima utengeneze mazingira ya kumvutia. Hapo utahitaji akili nyingi na ujanja ujanja ili ufanikishe bila kutumia fedha nyingi.

Ila wenye fedha za kutosha hua hawapendi kuchosha akili yao wao wanamwaga mpunga mpaka msichana anajiongeza mwenyewe kila mtu na aina yake ya mtongozo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…