jumamchana
Member
- Jan 17, 2016
- 25
- 13
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]elimu yako tafadhali
We nani amekuambia tar ya kuingi period ni ile ile kila mwezi?Nimejaribu kuwaza hapa,, hivi kwa mwanamke anaepata bleed kwa mara ya kwanza,, hiyo bleed inatokea tarehe sawa na tarehe yake ya kuzaliwa. Maana nimejaribu kuwauluza magirlfriend wangu sita maex na niliyenae lakin wakinipa tarehe ya mzunguko wake wa hedhi halafu nikalinganisha na birthdate yake zinapishana mno. Nikajiuliza labda kutokana na ujana wametumia madawa ya uzazi ndo au vip.
Labda wenzangu huko mnaielewaje hii
Sent using Jamii Forums mobile app
We nani amekuambia tar ya kuingi period ni ile ile kila mwezi?
Owkey, mi sikumbuki yangu