ππ Acha roho mbaya weweeeAchana nae ana maudhi yake huyo... Mwimba umemkaba mpaka kaenda hospitali...
You wish, mwisho wa siku unaishia kuzungusha macho, ili uonewe huruma...Mimi mbabe
Na wote mnajua
Wee ndio umeniibia,, nitakupeleka TRAWewe mwenye Avator umeniibia... alafu unataka kugawa... Nitakushitaki Brela...
Roho mbaya ninayo ndiyo, tena katili...ππ Acha roho mbaya weweee
TRA ni nyumbani kwangu...Wee ndio umeniibia,, nitakupeleka TRA
Tall and handsome unakuaje na roho mbaya??Roho mbaya ninayo ndiyo, tena katili...
Fithadi ee ππ€πTRA ni nyumbani kwangu...
Sina pa kuviweka.. naweza vikaanga first day viwe kama vidagaaNitakueletea wakufuga vile vidogodogo vina rangi rangi na vimepakaa lipstick...
Sidanganyiki...hahahaha...Tall and handsome unakuaje na roho mbaya??
Nitakuua ππ
Muulize huyo 911Wamekufanyaje kwani
Utakua unaviangalia tu vinavyo zurura ndani ya aquarium...Sina pa kuviweka.. naweza vikaanga first day viwe kama vidagaa
Hata sijui kwani kuna nini...Fithadi ee ππ€π
Me sijakudanganya tall mid white and handsome ππSidanganyiki...hahahaha...
Kuniua huwezi, unajua kitakachokukuta... Unakumbuka ile picha ukasema hapo kuna nini...
Kuna π na π¦Hata sijui kwani kuna nini...
Muoga kama nini wewe...Me sijakudanganya tall mid white and handsome ππ
Siogopiiii
Na ile kitu siiogopiii π€£π€£
Me si mwamba bob
Emu nionyeshe mfanoUtakua unaviangalia tu vinavyo zurura ndani ya aquarium...
Utakufa haviliwi...
ππMuoga kama nini wewe...
Vitakufa kabla havijakufikia...Emu nionyeshe mfano
Kwamba macho yangu yanauaVitakufa kabla havijakufikia...