Hongera jarini kwa kua na day(s) off...Me nipo home leo
Gud aftanuniSababu anakuja nje vile, wakati mimi nakujua ndani vizuri...
Ongea vizuri wewe... umeshikilia nini mpaka uongee hivyo...Gud aftanuni
M…Ongea vizuri wewe... umeshikilia nini mpaka uongee hivyo...
Sema usikike...
SitakiSema usikike...
Na sikutumii emoji... bishana mwenyewe...Ankoo 😂😂😂😂
Utake mara ngapi...Sitaki
Kuna mvua huku..😁😁😁 niaje dogo
Hahaha kaache hivyo... Nishakafumuafumua...🤣🤣🤣🤣
Unanifundisha ubabe ujue
Nikimbonda jirani yangu siku nikaanguka nan atanisaidia kama sio jirani yangu Smart911
Weee hatari lakini salama😂Hahaha kaache hivyo... Nishakafumuafumua...
Kakawa kanasema atanisemea kwako... Nimekaambiwa shauri yako wee niseme mwisho wa siku uje uletewe kadi ya mchango...
Roho mbaya hii Cha utundu...Utajua hujui.. ila tembeza kibondo