Anaogopa kutongozwa ati...Hauna majirani au uko ushuani kila mtu ndani ya geti lake😂
Hapendi usumbufuAnaogopa kutongozwa ati...
Jirani sijawahi kupoteza pambano...Itakufanya uwe mgomvi jirani sio nzuri, usije kudundwa ukaumia
Umewaza nini Cha utundu...Mfyuu 🤣🤣🤣
Unaogopa wanaume... Hawatakumbambia wewe mtoto...Watu tu wa humu ndani kwetu siwasikii hata kama wapo..
Jirani wa kushoto na kulia hata siwajui.. nasikiaga tu honii
WasalimieMnanizingua tu.. ngoja nitoke nje ya gate.. siwezi kosa mpita njia
Matusi yenyewe hufanyi... Labda Kwa roho mtakatifu...Nielekeze basi,, mimba tayari ninayo
Hahaa hongera jiraniJirani sijawahi kupoteza pambano...
Anahisi atabambiwa...Hapendi usumbufu
Ni ndoo tu ndio inahitajika kufunguliwa jirani, focusDah!! Nitafungua vingi...
Asije akazima taa tu mpita njia...Mnanizingua tu.. ngoja nitoke nje ya gate.. siwezi kosa mpita njia
Ni ngumu to focus Kwa hako kabinti...Ni ndoo tu ndio inahitajika kufunguliwa jirani, focus
AbeeeeNi ngumu to focus Kwa hako kabinti...
Hahaa polee jamani
Naona uko mahabani