Muda mrefu mwishowe mpendane cha kweli kweli hasara kwa nani
Bora tu kuachana mapema week 1 au 2 zatosha bana, ujaribu anaza fleva
Njoo nimekaa hapa chini ya mwembe 🤣🤣🤣🤣🤣
Takudundaaa
Nani akubali maumivu? Nooo😂😂😂kupendana kweli kweli kwioo....tena tunaopenda kweli ni sisi...sasa cha kuumia nn😎
😂😂😂kabisa yaanHamna kuzoeana
Na kwanini upende kweli😂😂kupendana kweli kweli kwioo....tena tunaopenda kweli ni sisi...sasa cha kuumia nn😎
Af saa 8 hii, hujanipa feedbackNjoo nimekaa hapa chini ya mwembe 🤣🤣
Huo muda wenyewe wa kupenda upo wapiNa kwanini upende kweli
Mzazio kwani huyo
Ukipenda kweli akili za kumuacha unaishiwa
Don't see blue tick 🤣🤣🤣Af saa 8 hii, hujanipa feedback
Aisee,mi nilimwacha MTU huku nalia...utaniutani nikapenda kweli...ila nashukuru mapichapicha yake yalinifanya nitambue thamani yangu....🙉🙆🙌Nani akubali maumivu? Nooo😂
Hapo sasa 🤣Huo muda wenyewe wa kupenda upo wapi
Kaa benchi kwanza🤣🤣Don't see blue tick 🤣🤣🤣
Mtaje tumbondeAisee,mi nilimwacha MTU huku nalia...utaniutani nikapenda kweli...ila nashukuru mapichapicha yake yalinifanya nitambue thamani yangu....🙉🙆🙌
Kabisa😂😂Na kwanini upende kweli
Mzazio kwani huyo
Ukipenda kweli akili za kumuacha unaishiwa
AloooKaa benchi kwanza🤣🤣
Huyohuyo uliyeshindwa kumbonda wewe😆🚶🚶🚶Mtaje tumbonde
Hahaa pole sana, muhimu ni kutokubali upuuziAisee,mi nilimwacha MTU huku nalia...utaniutani nikapenda kweli...ila nashukuru mapichapicha yake yalinifanya nitambue thamani yangu....🙉🙆🙌
Yule me nilimbondaHuyohuyo uliyeshindwa kumbonda wewe😆🚶🚶🚶
🙌kabisaHahaa pole sana, muhimu ni kutokubali upuuzi
Usinisumbue leo weekend niko busy🤣🤣Alooo
Ukiona nakupigia cm sauti haitoki ujue kimeumana
Tit for tatileeeHahaa pole sana, muhimu ni kutokubali upuuzi