Mimi tangu jana na naswapa hata sielewi π¬Miss you so much wapendwaaa kwani mnaswampia wapi nyie wenzangu sio kwa uyatima huuu!!ππππ!!
Nuzulati Cute Wife cocastic Tayana-wog Kapachino Mjep myoyambendi Carrasco Putin Grahams Ravenous Poker raraa reree muwe na Usiku mwema wapendwaaaa !
π€£ Mbavu zangu jamani eti kukosa makazi maalum. Ngoja nikutaftie makao mapya sasa.Uwiii Ndiomana nafeel kabisa kutokuwepo kwake yani nahuu ukimya wa kukosa makazi maalum tangu jana ndio kabisaaaa!!
Mrembo habari yakoUwiii Ndiomana nafeel kabisa kutokuwepo kwake yani nahuu ukimya wa kukosa makazi maalum tangu jana ndio kabisaaaa!!
Mimi piaa najikuta naibiaibia tu nyuzi zawatu nyieee!! ππππMimi tangu jana na naswapa hata sielewi π¬
Hata sijui nikae kitako uzi gani au nirudi nyumbani uzi wa likeπ€¨ππMimi piaa najikuta naibiaibia tu nyuzi zawatu nyieee!! ππππ
Nautafuta, mimi na wakimbizi wenzangu tuhamie huko.Kuna ule wa bujibuji ngoja nikiupata ntakutag ila nahisi Saint Anne anaujua vizuri. Tayana-wog sijui kakimbilia wapi. cocastic namuona ona kwenye uzi wa juma nature. Cute Wife yupo magereza saivi sijui atatoka lini.
Mie piaaaa hata sielewi kuna muda mi niliwaza kurudi uzi wa wamwisho ndio mshindi nikajiongeleshe pekeangu na neno la mwisho weee mpaka nichokeπ!Hata sijui nikae kitako uzi gani au nirudi nyumbani uzi wa likeπ€¨ππ
Ukiupata usisahau kutuita aseee arosto ya kutangatanga sio poahhπ€ π€Nautafuta, mimi na wakimbizi wenzangu tuhamie huko.
Hatutaki kutangatanga.
π€£πMie piaaaa hata sielewi kuna muda mi niliwaza kurudi uzi wa wamwisho ndio mshindi nikajiongeleshe pekeangu na neno la mwisho weee mpaka nichokeπ!
Njema sana rafiki za ukimya!!!Mrembo habari yako
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π
Fresh tu miss uNjema sana rafiki za ukimya!!!
Miss you more friend !Fresh tu miss u
Nawee pia shouzzzz [emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]Miss you so much wapendwaaa kwani mnaswampia wapi nyie wenzangu sio kwa uyatima huuu!![emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]!!
Nuzulati Cute Wife cocastic Tayana-wog Kapachino Mjep myoyambendi Carrasco Putin Grahams Ravenous Poker raraa reree muwe na Usiku mwema wapendwaaaa !
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo kwa uzi wa zamaradiKuna ule wa bujibuji ngoja nikiupata ntakutag ila nahisi Saint Anne anaujua vizuri. Tayana-wog sijui kakimbilia wapi. cocastic namuona ona kwenye uzi wa juma nature. Cute Wife yupo magereza saivi sijui atatoka lini.