Wewee tuko chimboo lazima awe hewani kabla ya Ban kuishaa, kwa kosa gan kafanyaaa? Watu wasitoe ukwelii? Khaaah
Ndowapi huko ??? Sikuhizi sie wakimbiziii hatuna makazi maalum uwe unatustua shosss usitufanyie hivoo!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo kwa uzi wa zamaradi
Ngoja tufanye manuvaa soon atakua kwahewaa ! Ngoja kwanza nikamcheki tsup !π€£ Muombee basi arudi boss lady wangu.
Msalimie sana mwambie tunampenda.Ngoja tufanye manuvaa soon atakua kwahewaa ! Ngoja kwanza nikamcheki tsup !
Usijareee zimefikaaa Rafiki!!Msalimie sana mwambie tunampenda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] celebs 4rum niko mie.Ndowapi huko ??? Sikuhizi sie wakimbiziii hatuna makazi maalum uwe unatustua shosss usitufanyie hivoo!!
Lol kila mmoja na alikotawanyikia walai! ngoja nikamtafute uduguuu cute sirudi hapa hadi nimpate!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] celebs 4rum niko mie.
Kubomolewa nyumba shughuli yake si mchezo.Ukiupata usisahau kutuita aseee arosto ya kutangatanga sio poahhπ€ π€
AminaaaLol kila mmoja na alikotawanyikia walai! ngoja nikamtafute uduguuu cute sirudi hapa hadi nimpate!!
Usiku mwema wapendwa mrare unono na mfunikwe na damu ya Yesu[emoji8]!!
Rhabhekhaa!!! Afu km leo nimekuona sehemu?
Nimeshinda shift mochwari leo siku nzima, umeniona wp leoRhabhekhaa!!! Afu km leo nimekuona sehemu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had bas, nimekuona mkoani lakini.Nimeshinda shift mochwari leo siku nzima, umeniona wp leo
Aisee kutoka Dar sahivi sio rahisi. Nitazikwa pale Kinodoni.. Mkoani hapana πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had bas, nimekuona mkoani lakini.