[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuja wima wima, tucheke woteeNjoo [emoji23]
Sijambo pokerHabari kwako kipenzi changu my boss lady Antonnia
Uhali gani Lovelovie Saint Anne Tayana-wog mshamba_hachekwi Mnara wa Tz cocastic
Kwema nambie,
[emoji23][emoji23][emoji23] mbna cna?Safi, za kwako? Kipenzi chako hajambo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuja wima wima, tucheke wotee
[emoji23][emoji23][emoji23] mbna cna?
Umeniambia kitchen, leo kuna vitu nimejaribu mwenyewe kuvipika dada kakaa pembeni
Yupo humu humuKumbe una mrembo wa kuvaa brands!! Basi atakuwa yuko vizuri!! Sisi tushazoea midosho ya tandika.
Yupo humu humu
Unataka awe anakuchukulia brands huko?Kumbe? Niombee urafiki naye basi [emoji23]
Sawa, unaishi wapi? Nitumie details zako pmNataka tuandae mpambano dada wa kwako na wangu, then me na wewe alafu tuone timu ipi itaibuka na ushindi wa iPhone 15
Karibu sana
View attachment 2747216
Unataka awe anakuchukulia brands huko?
Sawa, unaishi wapi? Nitumie details zako pm
Kumbeee 🤔Simu si unajua line zenu hizo mwisho kupokea mil 2. Dubai nauli g&r + kukaa wiki comfortable hapo kama 3m hivi