Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Unaona ss Countrywide 🤣Na had hapa tunajua unaenda liwa, usubiri PDF lako na Kantriwaidiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃Hadi cute wife arudi huku jf atakuta kila kitu kimeshaisha. Asiyekuwepo na lake.........
Nipo madam
Yes namshukuru Mungu uzima upoNipo madam
Uko poa?
😂😂😂Pole sana ndo ukubwa uonilikumiss mpaka nikashikwa na homa😥
Jamani ukimsema CharmingLady mwili unanisisimuka kwa jinsi na Mpenda.Chocs Arushaone Valentina Watu8 figganigga FirstLady1 CharmingLady BAK sijui yupo wapi Baba V
Nimesahau wengi asee
Mimi mzimaMarhaba shemeji angu, mzima wewe.
Haiwezekani kujirudia hapa, usiogope mamaMaana naogopa mambo ya kule yasije jirudia hapa[emoji1787][emoji1787]
Hapo lengo lao nighairi, sijui itakuwaje sasa. Na mm naanza fikiria hivyoUnaona ss Countrywide [emoji1787]
Nishaliwa Tena according to them,former selfika people[emoji125][emoji125][emoji125]
Mi nitawaletea mwenyewe mkeka msijali hamtatumia nguvu nyingi[emoji1787]
Kumbe kuliwa ndo rahisi hivi,sikujua [emoji28]
😂😂😂😂Usijali ushemeji si dhambiMimi mzima
Huu ushemeji umeanzia wapi?😩
Wana roho mbaya 🥲😅Hapo lengo lao nighairi, sijui itakuwaje sasa. Na mm naanza fikiria hivyo
Wengi nimewasahau