Mention someone without any reason just to disturb them

Najua mnataniana
Wala usijali
Na mimi nawatania tu.


Haya dada
Twende na kwenye makoba tuoia kapicha
Tunaokaa store sijui tutaficha wapi sura zetu🤣🤣🤣🤣
Hahaa nimekumbuka
Shunie ana dhambi
Eti hereni za makopo 🤣🤣🤣🤣
Sjui hapajui ule mtaa wa wahindi una jina gumuu😂😂😂😂
 
Wale wa mafuta ya bukubuku parachute tunapita Kwa mbaali 😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥
[emoji1787][emoji1787] hamna ni 14 promax me napenda kubwa kubwa sijui kwa sababu ni mshangazi picha ya mwanzo ilijikata
Shunie🔥🔥🔥🔥🔥
Una undugu na Simara ?
Mambo yake haya
 
Hahaa nimekumbuka
Shunie ana dhambi
Eti hereni za makopo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sjui hapajui ule mtaa wa wahindi una jina gumuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Indira ghandi [emoji1787][emoji1787] D mniacheeee nimeokokaa jamaniiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…