Nkamu nikikuta mbinguni nakata rufaa ππππ.
Pale chuo tunamtoa Profesa nani wa kiswahili ili sisi tukae?
Chuo cha Muhimbili.
Pale chuo tunamtoa Profesa nani wa kiswahili ili sisi tukae?
π€£π€£π€£π€£ ww ukipigwa ujue sikugombelezeiTunarudi kujibu mapigo kwa kishindo kama awamu ya Tanoπ₯
Mimi pia ni Mwalimu
Dada kaweka mshahara wetu wote mezani
Hii haikubaliki
Ni mzuri haswa, anavutia.
Watu wa bush tunajua hapo duka la mikoba
Nyie watu wabaya
Infinix zinastack
Sijaona
Haiwezekani
Mi nitumiwe tu PM..
Kuquotiana na watu wa iphone sitaki tena[emoji119]
πππππ chuma hiko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi utajiri niutoe wapi zile ni kelele za Kantry tu..!!
Mi nna njaa km zote hapa
Hamna wewe ni mzuri bana wala hutumii nguvu sister [emoji7][emoji7][emoji7]
Vijembe nipigwe mara ngapi?π€£π€£π€£π€£ ww ukipigwa ujue sikugombelezei
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Magonjwa sugu yaliyokosa dawa
Ila nyie mna visanga sana mjue, hivi hii ya ugonjwa ilitokea wapi??
Kweli umevuka na hutaki hata kupoteza muda wako ππππ[emoji1787][emoji1787] unafikiri sioni sasa naona vizuri tu nishavuka hizo drama mdogo wangu
Wenye yeboyebo tunazitolea macho zile skuna jamani
Angalau haijastack[emoji7][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Watu wa bush tunajua hapo duka la mikoba
Kumbe chumbani bwana
Jamani akiyanani [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] chuma hiko
Km uko 2nd floor dada, kweli mama kazaa
Mwanamke handbags bwana, hata mimi napenda sio siri!Kuna siku nilipost status nimeegemea kabati la handbags nikaulizwa nauza [emoji1787][emoji1787] nipo dukani