Hapana, ni naniMhh Leni una mjua?? π
You Love the guy na humfatilii ujue ameachia kipi kipya ππNamjua si namuonaga kwa tvπ
Darrasa? I love the guy, hapo nitaisikiliza. Nitajie jina tena nishasahau wifi yako nimezeekaπ€£
Basi sio wewe, nili jua ame rejea. And sorry for asking about your relationship status π.Hapana, ni nani
Ndio shida ya kuishi kianalogia.You Love the guy na humfatilii ujue ameachia kipi kipya ππ
kumpiga adui na mwiba wa samaki machoni na kumlisha ugali mkavuMbinu za kijasusi ndio zii ?
Usijali, no need to apologise.Basi sio wewe, nili jua ame rejea. And sorry for asking about your relationship status π.
I didn't mean any malice at all
Alright, kuhusu mchuchu labda mwakaniπ€£Usijali, no need to apologise.
Usikae single sana, tafuta mchuchu.
πππ atakuelewa kweli? Si ataona unataka mama mtu nife njaaa ili abaki na nani na duniani niko peke yanguNdio shida ya kuishi kianalogia.
Kwahyo ndio unanichamba? Nitamwambia kaka asikupe hela ya matumizi ujue
Hahaa mwakani sio mbali ujue.Alright, kuhusu mchuchu labda mwakaniπ€£
Worry out, ni Mali Safi, ni Ile special edition πππ€πHahaa mwakani sio mbali ujue.
Utuletee mali safi mawifi tumpitishe, usituletee mtu kapauka tafadhali
Ndio ndio, inayojielewaπWorry out, ni Mali Safi, ni Ile special edition πππ€π
Tuache huko, kama hueleweki kwanini tusikujadili ππππππmliofatana inbox ntawapa alovera hii hapa sms zenu zinachekesha sana View attachment 2976725
mbona huyu anakumentioned sana hadi na fake P ila hajwahi kujibu kitu,
watakuja kulia na kusaga meno nawajua vizuri ila nawaonea huruma hawaTuache huko, kama hueleweki kwanini tusikujadili ππππππ
Ni id yangu ya pili hiyo πππmbona huyu anakumentioned sana hadi na fake P ila hajwahi kujibu kitu,
unajitekenya na kucheka mwenyewe πππππNi id yangu ya pili hiyo πππ
Ndio maana nimention
Bado sijalog in nikajijibu
Mara moja moja π₯Ήunajitekenya na kucheka mwenyewe πππππ
My all time favorite crush in here ππππThanks π