Nimekumbuka ndio pigo zako🤸Why umenikumbuka? Nimefanana nae au? 🙈
Tuma picha yake nikuone basi 😅Nimekumbuka ndio pigo zako🤸
Sijampiga pichaTuma picha yake nikuone basi 😅
Umefeli hapo 🤔Sijampiga picha
Nikikutana na mwingine nitampiga picha na namba nitakuombeaUmefeli hapo 🤔
Hapo sawa 😊Nikikutana na mwingine nitampiga picha na namba nitakuombea
Ila nyie😁😁😁🏃🏃🏃Why umenikumbuka? Nimefanana nae au? 🙈
Tumefanyaje?😂Ila nyie😁😁😁🏃🏃🏃
Hilo swali la jamaa, eti nimefanana naeTumefanyaje?😂
NimekumissHapo sawa 😊
Sema kweli? 🙈Nimekumiss
Karibu sana rafiki yangu mpendwaNipo kigamboni nakuja kukusalimia
Mambo vipi kaka upo gudi
Here am , Hi!
Haikatai jombaaa.Mambo vipi kaka upo gudi