Ayampenzi yaishe tuongee mambo mengi nilishaacha kutukana kitambo
Nini mbaya ndogo wangu🤸
Aya ndo niniNini mbaya ndogo wangu🤸
UtajijuAya ndo nini
Shule umeenda kusoma niniUtajiju
Siwezi kuandika haya😂
HahahahaEbu kunywa supu utoe hangover za jana
Nilijoin 2022
Fedha na Uchumi😂Shule umeenda kusoma nini
NikopesheFedha na Uchumi😂
Nimeghairi! Mwaka huu nataka nioleweHahahaha
Anaitwa ephen
Niambie Rafiki umeanza usumbufu eeh
Kwani mimi nakaa wapi? Mbagala makaburiniUtajiju
Kauli za wadada wa mbagara
Nashangaa nasomea uchumi na fedha ambazo mimi mwenyewe sinaNikopeshe
Uko wapi mbn unafichwa sana aisee...nashindwa kukusumbua huku ujue JoannahNalingi yo Papaa❤️❤️❤️😁😁
Mbagala hamna sehem inaitwa makaburini. Mbagala hamna makaburiKwani mimi nakaa wapi? Mbagala makaburini
Nashangaa nasomea uchumi na fedha ambazo mimi mwenyewe sina
😂
Hivi huko mbagala kuna fananajeMbagala hamna sehem inaitwa makaburini. Mbagala hamna makaburi
SASA unasoma mambo ya pesa na pesa hauna
Siuache