Unanishauri niache kusoma?Mbagala hamna sehem inaitwa makaburini. Mbagala hamna makaburi
SASA unasoma mambo ya pesa na pesa hauna
Siuache
Nyumba zimebananaHivi huko mbagala kuna fananaje
Safi nikaona nikusumbue kdg, maana najua wewe unanimudu vzr sanaNiko hapa Swahiba
😅😅😅sawa SwahibaSafi nikaona nikusumbue kdg, maana najua wewe unanimudu vzr sana
Hahahahaha...huko pananifaa nikajifunze life ..huko nyumba bei gani kwa mweziNyumba zimebanana
Chumba kimoja baba mama na watoto
Pakikucha kila mtu anaenda kwenye mishe zake hadi watoto
Kukutana ni muda wa kulala
Usiku kama mchana
Ushawahi kuona chipsi zinakaangwa saa 10 alfajiri? Njoo kwetu mbagala
Hahahahaha...tuko pamoja😅😅😅sawa Swahiba
Chumba hadi cha elfu 10 kwa mwezi kipoHahahahaha...huko pananifaa nikajifunze life ..huko nyumba bei gani kwa mwezi
Acha kusoma uolewe na mwananguUnanishauri niache kusoma?
NaachaAcha kusoma uolewe na mwanangu
15MSawa.
Mahari shingap
Toba.15M
Bado vitenge vya bibi na shangazi
Na ng'ombe za wajomba na babu
500k kwetu ni matusi!!Toba.
15M
Mbona Sisi tumejipanga Kwa 500k
Vitenge vipo
Mkaja WA mama upo
Koti la babu lipo
Matusi??500k kwetu ni matusi!!
Basi mtafutie mpare mwenzake mkalipe laki 2Matusi??
Yaani pesa ni matusi??
Hivi unajua tunekuheshimu sana??
Kwetu mahari ni laki mbili
Ok kweli huko ni jamhuri ya watu wa mbagalaChumba hadi cha elfu 10 kwa mwezi kipo
Nyumba nzima 90k unapata
Mmmmh15M
Bado vitenge vya bibi na shangazi
Na ng'ombe za wajomba na babu
Wewe tulia natafuta mshenga anaejua kuongea mtalainikaBasi mtafutie mpare mwenzake mkalipe laki 2
Wazazi wangu mtoto wao mpendwa ndo mimi, wamenisomesha kwa taabu, sio single maza, bado simjui mume, mzuri halafu utoe 500k?
😂🤸Wewe tulia natafuta mshenga anaejua kuongea mtalainika
Namchukua tresor