Ameshaunda hilo groupNasubiri Chief
IsiyonakileviDivai mimi ni baba paroko
Asanteee jirani mkubwa😘😘Tutakua na group la familia la ki jumuiya tutafanya na ibada
Hapana jirani hiyo ni Non-alcoholWe ni mlevi eti
Weee usiniambie jiraniUmenikumbusha mwalimu wangu wa arithmetic aiseeh
Yaani hadi nimejishangaa!Etiii we ulisikia wapiii
[emoji2][emoji2][emoji2]
Alikua ni wa kupania na mfuatiliaje alikia ni madam halafu ni pisi kali halafu anafundisha mathematics dahWeee usiniambie jirani
[emoji1787] [emoji1787]Hapana jirani hiyo ni Non-alcohol
Si utulie sasa na wewe.... Mbona vitisho kibao lakini?[emoji2]ole wako ushindwe
Pisi kali eee..hukumuimbisha songi kweli jiraniAlikua ni wa kupania na mfuatiliaje alikia ni madam halafu ni pisi kali halafu anafundisha mathematics dah
Pamoja sana [emoji106]Nasubiri Chief
Wewe ulikuwa mpenzi wa Math bila shakaNamzoom tu akiendelea kukusumbua nitadeal nae perpendicularly
Kuna tofauti kubwa kati ya ulevi na unywajiWe ni mlevi eti
Jirani yetu ni mleviKuna tofauti kubwa kati ya ulevi na unywaji
Nilijitahidi sana ila mpaka leo sijafanikiwa kuipata thamani ya x na yWewe ulikuwa mpenzi wa Math bila shaka
Hahaha aisee..Jirani yetu ni mlevi
Jirani yangu asante kwa kunitetea 🧚♀️🧚♀️Kuna tofauti kubwa kati ya ulevi na unywaji