zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Notification tunapataKuna wale wanaotumia app itakuwa ni kazi bure. Hawaoni maana hawapati notification.
pisiii
[emoji4]Pisiii?peace?
Pisiii?peace?
pisi,mrembo , mtoto mkali , mtoto mzuri nk
Hata mimi nilikuwa siijui huku kwetu msichana mrembo kama wewe tunamuita totoz[emoji847]Hahahahh ifike mahali niache ushamba sasa
Hata hii pisii nimekosa?
Hahahahh ifike mahali niache ushamba sasa
Hata hii pisii nimekosa?
hahaha[emoji23] kabisa maana upo Out dated sana
Hahah sikutarajia bhana kama ulimanisha pisii hiyo
Hahah sikutarajia bhana kama ulimanisha pisii hiyo
njoo kwenye uzi wa single boys wa Jf unifariji[emoji3059]
Sijauona,naomba unitag
Loh!ladies taking over