Nakusumbua tu...Abeee
Siwezi sahau hilo...πππ nikajua umesahau kama na mimi ninayo..
Acha basi πNakusumbua tu...
Ufanye vile tena, alafu uje unalia lia... hahaha...Acha basi π
Niko na kazi za rrrrrr π€£π€£
Ujue nipo Dar
π€ π€ π€ π€ hela sasa ipo nimelala ghetoUjue nipo Dar
Hahaa,pole kwa majukumu,Tafuta natural heater zipo nyingi tu...
achaaa mdogo wangu,Hali ni mbaya sana ππ
Kabaridi kamekuwa ka kibabe sana
πππ sahivi inayotoka inakuwa recorded kwa diaryUfanye vile tena, alafu uje unalia lia... hahaha...
Kuandika andika huo ni umama, wewe piga tu...πππ sahivi inayotoka inakuwa recorded kwa diary
Me si mama pia ππKuandika andika huo ni umama, wewe piga tu...
Wewe Bado hujawa mama...Me si mama pia ππ
Nipige? Unikazie? Nibaki nahaha ππ€£