Mention things that can be done only once in your progress life!

Mention things that can be done only once in your progress life!

Point less

Senior Member
Joined
Jun 24, 2020
Posts
194
Reaction score
98
Jf....
Lets discus on the things that are done only once in your life "just term up any sector"
Me naanza UBATIZO
 
Ivi ukisikia kuzaliwa mara ya pili unaelewa nn?

Hiyo ni siasa na aghalabu, msemo wa kiswahili ukimaanisha tofauti kabisa na kutungwa mimba ukatoka tumboni baada ya kukamilika ...... kuzaliwa.

Unatoka tumboni kwa mama yako mara moja tu katika maisha yako yote, hakuna mara mbili au zaidi
 
Kuzaliwa,
Ubatizo
Kipaimara
Ndoa
Kupoteza bikra.
 
1-Tanzania kuwa na rais dikteta akafa akiwa katika harakati za kubadili katiba awe rais wa kudumu.
2- Chama cha ccm kilitaka kumpa dikteta urais wa milele LAKINI KATIBA MPYA HAWATAKI KUSIKIA.
3- Kufa kwa dikteta.
 
1-Tanzania kuwa na rais dikteta akafa akiwa katika harakati za kubadili katiba awe rais wa kudumu.
2- Chama cha ccm kilitaka kumpa dikteta urais wa milele LAKINI KATIBA MPYA HAWATAKI KUSIKIA.
3- Kufa kwa dikteta.
Ooh! Kumbe hahahaha huhuhuhu
 
Back
Top Bottom