Mercedes Benz B180, W246 (2012-2018)

Mercedes Benz B180, W246 (2012-2018)

EHK

Member
Joined
May 19, 2011
Posts
74
Reaction score
96
Habari wakuu,
Naomba experience kwa mtu amewahi kumiliki gari ya kwenye subject line hapo, petrol option.
  • Changamoto yake kubwa (kama zipo)
  • Vitu vya kuwa navyo makini
  • Average consumption (japo hii najua mara nyingi ni subject to other factors)
Natanguliza shukran.
images (9).jpeg
 
Habari wakuu,
Naomba experience kwa mtu amewahi kumiliki gari ya kwenye subject line hapo, petrol option.
  • Changamoto yake kubwa (kama zipo)
  • Vitu vya kuwa navyo makini
  • Average consumption (japo hii najua mara nyingi ni subject to other factors)
Natanguliza shukran.View attachment 3238405
Kaka hii post ni Jumapili, leo Jumanne zimepita siku mbili comment tatu... Ngoja nikwambie sababu.... Sababu kubwa hapa hakuna comment ya magari ya hivyo, ungenunua IST ungepata comments nyingi tu hasa zile za kutokula mafuta, sijui wanataka zile maji...
 
Unachukua Petrol au Diesel? Auto au Manual?

Kama umeipenda go for it, yapo machache wengi waliopt for BMW X1.

Auto yake ni DCT ila haina issue sana.
 
Unachukua Petrol au Diesel? Auto au Manual?

Kama umeipenda go for it, yapo machache wengi waliopt for BMW X1.

Auto yake ni DCT ila haina issue sana.
I go for petrol option, auto
 
Back
Top Bottom