Mercedes Benz c180

Mercedes Benz c180

LACHERO

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2011
Posts
478
Reaction score
278
Ndugu wana jamvi poleni na majukumu, nimetokea kuzipenda hizi gari, mwenye uzoefu nazo naomba anisaidie kuhusu changamoto zake au ubora wake. Asanteni
 
Ipeleke jukwaa la magari utapata mengi ila kwa haraka ni kwamba vipuri vipo juu ila ukifunga ni mkataba
 
Ndugu wana jamvi poleni na majukumu, nimetokea kuzipenda hizi gari, mwenye uzoefu nazo naomba anisaidie kuhusu changamoto zake au ubora wake. Asanteni
Sikuiona hii, siku ingine ni-mention. Sasa c180 gani ulioipenda? W202,W203 au W205?
W203-very popular in TZ
Mercedes_C-Klasse_%28W203%29_Sport_Edition_front.jpg


W202-Too old
W202.JPG


w204-Habari ya mujini
53a45e31cc64ce499d41ddfdac5a7a64-jpg.83069
 
Sikuiona hii, siku ingine ni-mention. Sasa c180 gani ulioipenda? W202,W203 au W205?
W203-very popular in TZ
Mercedes_C-Klasse_%28W203%29_Sport_Edition_front.jpg


W202-Too old
W202.JPG


w204-Habari ya mujini
53a45e31cc64ce499d41ddfdac5a7a64-jpg.83069
mkuu vipi ulaji wa mafuta hasa 204?
 
Sikuiona hii, siku ingine ni-mention. Sasa c180 gani ulioipenda? W202,W203 au W205?
W203-very popular in TZ
Mercedes_C-Klasse_%28W203%29_Sport_Edition_front.jpg


W202-Too old
W202.JPG


w204-Habari ya mujini
53a45e31cc64ce499d41ddfdac5a7a64-jpg.83069
Nimeipenda hiyo ambayo ni popular hapa mjini naomba unisaidie wasifu wake. Thanks..
 
Nimeipenda hiyo ambayo ni popular hapa mjini naomba unisaidie wasifu wake. Thanks..
Gari nzuri,cheap to maintain kulinganisha na MB nyingine. Ila hala hala usifikiri spares zake kama Toyota, uwe tayari kutoa 400,000 au 500,000 kwa matengenezo fulani. Shock absorber moja ni 250,000-300,000. Radiator 300,000-400,000 etc.

Nunua yenye engine code 111, usinunue 112 au 271.
 
mkuu vipi ulaji wa mafuta hasa 204?
203/204 zinatumia engine zile zile kunna 271 na 112 ndio maarufu. 271 engine ndogo haili sana mafuta,112 ni v6 inabwia mafuta lakini moto wake i mchezo.
 
Trust me....even in quality, BMW is superior.


Oh! Yea?!,..good to know.

Ila najua mziki wa Mercedes si mdogo. Ni ngumu na salama haswa, when it comes to safety.
 
Gari nzuri,cheap to maintain kulinganisha na MB nyingine. Ila hala hala usifikiri spares zake kama Toyota, uwe tayari kutoa 400,000 au 500,000 kwa matengenezo fulani. Shock absorber moja ni 250,000-300,000. Radiator 300,000-400,000 etc.

Nunua yenye engine code 111, usinunue 112 au 271.
Nashukuru mkuu kama nimeweza kuendesha XT 20 hapa town hope hiyo haita nishinda
 
Back
Top Bottom