Mercedes-Benz itawaua watanzania asee

Gari inatoka hapo gonjwa zaidi. Fundi Juma anasema Kuna kitu mzungu alisema kama extra kwenye gari wakati kina kazi yake
๐Ÿ˜๐Ÿ˜unga direct
 
Labda inategemea na location uliyoko tu wakuu, ila mafundi wa gari za โ€œkizunguโ€ siku hizi sio shida kabisa.
 
Hapo kuna mwamba anatoa darasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ