Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Tunawashukuru kwa mwitikio wenu lakini kwa hakika mmetupa kibarua kipya kabisa na kazi imekuwa ngumu katika hiyo ripoti. Kutokana na ongezeko kubwa la watu wapya ambao wangependa kupata ripoti hii hasa wale ambao ndio wamepata tu taarifa zake tumeamua kuongeza nakala 50 tu hadi hii Ijumaa.
Maelezo ni yale yale na utaratibu ni ule ule wa kupata.
Pamoja na hilo, jana nilizungumzia kwanini tumefanya hili tulilolifanya na tunasukumwa na kitu gani ili kusiwe na utata wowote.
Maelezo ni yale yale na utaratibu ni ule ule wa kupata.
Pamoja na hilo, jana nilizungumzia kwanini tumefanya hili tulilolifanya na tunasukumwa na kitu gani ili kusiwe na utata wowote.
Last edited: