Meremeta 00:00:00. EXTRA

Status
Not open for further replies.

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Tunawashukuru kwa mwitikio wenu lakini kwa hakika mmetupa kibarua kipya kabisa na kazi imekuwa ngumu katika hiyo ripoti. Kutokana na ongezeko kubwa la watu wapya ambao wangependa kupata ripoti hii hasa wale ambao ndio wamepata tu taarifa zake tumeamua kuongeza nakala 50 tu hadi hii Ijumaa.

Maelezo ni yale yale na utaratibu ni ule ule wa kupata.

Pamoja na hilo, jana nilizungumzia kwanini tumefanya hili tulilolifanya na tunasukumwa na kitu gani ili kusiwe na utata wowote.
 
Last edited:
Mkuu Mwanakijiji hii imekaaje lakini; nakuwa na hofu nakala zote zisije zikaishia kwenye mikono ya wale wenye mlengo wa kifisadi ama mafisadi wenyewe!

Any way, juhudi zako ni nzuri na zinahitaji support ya hali ya juu mkuu.
 
Mkuu Mwanakijiji hii imekaaje lakini; nakuwa na hofu nakala zote zisije zikaishia kwenye mikono ya wale wenye mlengo wa kifisadi ama mafisadi wenyewe!

Hilo lisikutie shaka, in case of unforeseen event the report will be released independently of this base and freely. NO one can stop it, isipokuwa Mungu.
 
MKJJ mjitahidi sana kuwa na plan B na C maana mafisadi na hata system itakuwa imestuka sana na inajipanga....kudhibiti labda kijarida kisivuje.....nahisi kama kamata kamata itafuata kutisha watu kwenda front.....hasa kulipia....ni mtazamo wangu tu....ila kazi nzuri sana naunga mkono...nchi haina mwenyewe???wananchi twajua wajibu wetu ??hatuwezi kuwawajibisha mafisadi??hadi lini.....
 

Kwa kweli hakuna plan "B". Ka"nzi" kamechoka baada ya kukaa kwa madiba karibu wiki nzima!
 
Hongera sana MJJ kwa kazi mnayoendelea. Mimi binafsi nilikuwa na maswali machache:

Having only 100 copies!!
Sababu ya kutoa hii nakala special ni nini? Sio kutaka watu wajue hii ishu kwa kusudi la ku-expose zaidi. Katika maelezo yako umetoa mfano mzuri wa Ab Ghraib - lakini kumbuka zile ziliwekwa kwenye Youtube.
Pia hao watu 100 watakaopata nakala, utahakikishaje kuwa wataifanyia kazi utakayo wewe? Na Usalama wa Taifa ukijiandikisha na kuchukua zote, itakuwaje?
 
Hongera sana MJJ kwa kazi mnayoendelea. Mimi binafsi nilikuwa na maswali machache:

Having only 100 copies!!


Sababu ya kutoa hii nakala special ni nini? Sio kutaka watu wajue hii ishu kwa kusudi la ku-expose zaidi.

Hapana, rejea mada ile nyingine ya "Mtanzania mwenzangu, unajua hili?"..

Katika maelezo yako umetoa mfano mzuri wa Ab Ghraib - lakini kumbuka zile ziliwekwa kwenye Youtube.

Ni kweli.. lakini ni wachache waliovalia njuga.. so wengine wataona hivyo hivyo kama kwa youtube.

Pia hao watu 100 watakaopata nakala, utahakikishaje kuwa wataifanyia kazi utakayo wewe? Na Usalama wa Taifa ukijiandikisha na kuchukua zote, itakuwaje?

Hakuna lolote ambalo Usalama wa Taifa au mtu mwingine yeyote atakayeweza kuzuia kuenea kwa nakala hii kwa wale watu ambao wanataka kujua ili kutenda. So any attempt to interfere will be an exercise in futility.

So.. don't worry about the "ifs"..
 
Kwa kweli hakuna plan "B". Ka"nzi" kamechoka baada ya kukaa kwa madiba karibu wiki nzima!

Mkuu MKJJ,

hakuna "sneak-peek" angalau ya a couple of paragraphs?
Mimi nakala yangu itabidi unishushie mtaani ukipiga raundi...$ thelathini
yako inakusubiri.

Big ups to what you are doing bro!
 
Mkuu ubarikiwe sana na Muumba akuzidishie.Binafsi sina wasiwasi kwani nina amini unajua unachokifanya,kazi nzuri.
 
Du MKJJ
Kwa wale ambao tutataka kujua tu hatuta pata?

Na pia kuhakikisha linafanyiwa shughuli, nilikuwa napendekeza nakala za bure kwa wabunge. Mnaonaje?
Au MKJJ ulikuwa una plan gani kuhakikisha hii ishu inashungulikiwa ipasavyo? Maana nimeona kwenye forum yako ukiongelea uwoga wa wabunge...sasa nani atamvisha paka kengele kama wao wanashindwa?
[ame="http://www.forums.mwanakijiji.com/showthread.php?p=4402#post4402"]Wabunge wetu na siri za kijinga! - MwanaKijiji.COM[/ame]
 
Mwanakijiji

Njia rahisi ni kupitia vocha za simu. Unanunua vocha ya simu na kumtumia Maxence kama ilivyopendekezwa kwa JF halafu unamtumia pia email yako ili uweze kutumiwa ripoti.

Hongera kwa kazi nzuri na hayo maono ya kuchangisha natumaini watu watakao nunua watasoma na kufanya jasho lenu lionekane. Ni mara ngapi niprint cheche halafu sisomi siyo fair, hii nitakayo nunua lazima nitaisoma tu.
 
Sasa mkuu oda ina ambatana fedha au inakuwaje?
Je oda ikiwa kubwa yaani nikiwa mtu wa 155 nitapata nakala hiyo? Maana naona plan nikutoa nakala 100.
 
Sasa mkuu oda ina ambatana fedha au inakuwaje?
Je oda ikiwa kubwa yaani nikiwa mtu wa 155 nitapata nakala hiyo? Maana naona plan nikutoa nakala 100.



Posted: Today, 09:48 AM
Current time: All times are GMT +4. The time now is 11:40 AM.
Views za thread: Views: 100

In theory order zimekwisha....
 
Mkuu MKJJ,

Hongera na kazi nzuri japo sisi wa manzese mbona umetuwekea ugumu? Tutalipaje ili tuipate?
 
Mzee Mwanakijiji,

This is breaking News.kuna kosa mmefanya moja sana la kiufundi hapa,kwanini mnamwingiza maxenco hapa??

nimepata tarifa toka huko.ni bora copy zitoke marekani .ila ni good move and i second it.Mie nitachukua ka mtu wa this Day coz ninafahamiana naye.

Ila hili litaleta matatizo
 

Na ona vitu vyako mzee, nakubari kuwa masters imetema!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…