Meremeta 00:00:00. EXTRA

Status
Not open for further replies.
btw


bado napata tabu na one document..mbili nilizozipata hazina much info...hii ya Executive Outcomes si ngeni sana kwangu afterall kuna jamaa nilisoma naye aliwahi kupata gig na jamaa lakini akahama sasa yuko na jamaa wa Aegis ...not bad kwa working class kid ambaye hata hakumaliza university
 
......Sorry Cuzin!...usinisemehe ok...

....na nikashindwa kujibu so nitawaambia watume western union kwa huyo Max...btw Max Melo ndiyo nani sasa?....
OHOOOOOOOO!haumjui max tena?
 
OHOOOOOOOO!haumjui max tena?

Yeah simfahamu huyo Max Mello ndiyo nani na ndiyo maana nikauliza maana siyo natuma tuu pesa alafu namtajirisha Fisadi....Ila naona cuzin anafanya naye hii project then atakuwa nimtu muaminifu tuu.
 
Yeah simfahamu huyo Max Mello ndiyo nani na ndiyo maana nikauliza maana siyo natuma tuu pesa alafu namtajirisha Fisadi....Ila naona cuzin anafanya naye hii project then atakuwa nimtu muaminifu tuu.

Duh Kelly01...?

Maxence Melo = JF Founder ....ni mdau mkubwa sana wa JF Kelly....just search hilo jina na unaweza kuPM as well kwa clarification zaidi! Is very good guy!
 
Duh Kelly01...?

Maxence Melo = JF Founder ....ni mdau mkubwa sana wa JF Kelly....just search hilo jina na unaweza kuPM as well kwa clarification zaidi! Is very good guy!

NL...Founder wa jf kwani siyo Invisible?...mmh then i am so lost....all these time najua ni invisible huyo.
 
NL...Founder wa jf kwani siyo Invisible?...mmh then i am so lost....all these time najua ni invisible huyo.

Max anatumia jina lake kamili hapa, Invisible ID yake ni kama yangu....so ni ngumu kusema max=robot au sio robot? cha msingi uwe na imani na Max kuwa ndiye jf founder!
 
ndio tumeongeza leo hadi kesho..

Cuzin weka copy yangu na pesa ipo njiani sawa usije ukaniambia zimekwisha i will chock you!....


Mbogela darling i know ni mkongwe na naingia sana tu kwenye siasa na nime cotnribute a lot kwenye jukwaa la siasa angalia my archieve......well ila siku hizi nipo so tight ndiyo maana nime slow down na leo nimeingia tuu kutokana na hii issue ya meremeta nimepewa fununu na wa2wangu kuhusu hii issue na sikujua kabisa na mtayarishaji ni my own zone cuzin...anyhoo thanks!
 

Dada sikumaanisha Jukwaa la Siasa nilimaanisha kale kaneno kalikokuwa kanamalizia kwenye ile sentensi, any way nakacopy hapa. Michango JF 2009:
 
MMechelewa wapi? mtakuja kurudi siku moja mkute nchi imeshauzwa na mafisadi!!

umenichekesha.. that is how I felt last night.. we gave a notice a week ago! Ila labda hali ngumu ya uchumi.. and I know wengine watakuja baada ya kupata mshiko wao.
 
umenichekesha.. that is how I felt last night.. we gave a notice a week ago! Ila labda hali ngumu ya uchumi.. and I know wengine watakuja baada ya kupata mshiko wao.
Mzee MKJJ kwa nini bado unashangaa shangaa njiani? Make a move!
 
....aisee!! the last time i had such a FEELING ni nilipoangalia zile series za 'ROOTS' i might've forgotten at large what was SAID or DONE but definately not how i FELT....and yet again this is how i FEEL....
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…