Meremeta 00:00:00. EXTRA

Status
Not open for further replies.

MM, hilo ni swali na jibu tosha!!!

Watanzania tujiulize: tumeshawahi kutumia shilingi 30,000/- kwa mambo kadha wa kadha yasiyo na tija mara ngapi???

Novels za willy gamba na shigongo si tunanunua??

Magazeti ya uwazi na ijumaa si tunanunua?

Iwapo serikali ingeamua kutoa pesa kwa tume ya kuchunguza meremeta unadhani tungetumia kiasi gani cha walipa kodi ukiangalia per diem, imprest, air ticket, communication, gharama za kichunguzi n.k.??? si inngezidi bilioni???

Kama mtu anaweza kuchukua millioni 30 kwenda kufanya uchunguzi wa maji yenye sumu mara au impact ya matangazo ya ukimwi vijijini - si mnajua ile ni pesa yetu au ya donors??

LETS TRY TO CONTRIBUTE FOR THOSE WHO DARE, BECAUSE NOT ALL OF US CAN DO THAT EVEN AT A MILLION DOLLAR PAYCHECK

MM, NIWEKEE KAKOPI KAMOJA, NTANUNUA
 
Last edited by a moderator:

Asante MKJJ lakini isiwe DECI nyingine maana watanzania kwa ubunifu nawaaminia, just a joke!
 
Mimi nataka nikutumie hela kwenye tigo kama recharge voucher. Nitume lini? Nikikosa kuipata nakala yangu utanirudishia hela yangu?
 
Mkuu Mwanakijiji, while not trying to discredit your efforts, I will also have my 'kanzi' on the alert in case of any leakages.....
 
Mkuu Mwanakijiji,

Ukombozi una gharama zake na lazima wachache wajitolee ndio tutaweza kufika. Chonde chonde, isijekuwa habari ya kuchangia ikawasaidia mafisadi kununua taarifa hizi na kuzifukia.

Hebu mwaga data hadharani uone watu watakavyoingia mitaani!
 
tricky tricky... channels za UwT wanataka nakala ya ripoti hii ASAP... kwamba kuna "kazi" wangetaka waifanyie.. well the law of unintended consequences... je wachangie.. wapewe bure... wapatiwe waipitia kabla ya kuirusha.. total dilemma..!
 
tricky tricky... channels za UwT wanataka nakala ya ripoti hii ASAP... kwamba kuna "kazi" wangetaka waifanyie.. well the law of unintended consequences... je wachangie.. wapewe bure... wapatiwe waipitia kabla ya kuirusha.. total dilemma..!

mmh! yes, we are there... it was predictable. So, i do hope you had an answer since then.
 
tricky tricky... channels za UwT wanataka nakala ya ripoti hii ASAP... kwamba kuna "kazi" wangetaka waifanyie.. well the law of unintended consequences... je wachangie.. wapewe bure... wapatiwe waipitia kabla ya kuirusha.. total dilemma..!

MKJJ, Mtego huo;

Wanataka wajipange ili waanze kutafuta majibu mapema. No retreat, no surrender Man! You have already gone long way!

Au na wewe utaogopa kwamba ni Nyet za Taifa AKA ni kwa Usalama wa Taifa? The bottom line wafuate utaratibu wa kawaida.

Ushauri wangu wa ziada ni kuwa, pamoja na kuwa titachangia kwa hiyo $ 30 lakini ukishatutumia tu hiyo Jumatano, ibandike pia hapa JF kila mtu aione.

Kama noma na iwe noma tu . . . .
 
Ufisadi mwingine huo, haina chochote hiyo ripoti na wengine hatupo redi kukutafutia dola salasini salasini za kututapeli, nini cha maana sana hata tukinunuwe kwa bei hiyo? wacha ufisadi!
 
Ushauri wangu wa ziada ni kuwa, pamoja na kuwa titachangia kwa hiyo $ 30 lakini ukishatutumia tu hiyo Jumatano, ibandike pia hapa JF kila mtu aione.

Kama noma na iwe noma tu . . . .

it won't be fair kwa wale waliochangia.. kutokea humu itachukua muda kidogo!
 
UWT = ???? Umoja wa Wanawake Tanzania? au kuna nyingine tena?
 
it won't be fair kwa wale waliochangia.. kutokea humu itachukua muda kidogo!

Pole na Hongera kwa kazi nzuri, bahati mbaya sijasoma post za wachangiaji wote kwenye hii thread labda wameuliza hili swali tayari.
SWALI: Haki ya kukopi/kunakiri/kutafsiri kwa namna yoyote ile, kugawa na kusambaza imakaaje hapa.

Nauliza hivi kwasababu unajua siku hizi tunavishoka makanjanja wengi sana wanaosubiri watu wafanye kazi alafu kesho watoke na maheading makubwa makubwa kwenye magazeti yao wakiyapamba na maneno "uchunguzi wa kina uliofanywa na gazeti hili" na bahati mbaya sehemu mojawapo ya source yao ni JF. Naamini wengi wamekutumia $.30 siku nyingi, Je wataruhusiwa kuichapa hii report kwenye hizo media zao?

Kwa mara Nyingine asante sana!
 
Ufisadi mwingine huo, haina chochote hiyo ripoti na wengine hatupo redi kukutafutia dola salasini salasini za kututapeli, nini cha maana sana hata tukinunuwe kwa bei hiyo? wacha ufisadi!
wewe huwezi kutoa......utaharibu ratiba yaa jolly na massage parlour......
 
kila mtu ni mtoto kwa ndani - au sio?
UWT = Ulinzi wa Taifa?

UWT=USALAMA WA TAIFA. (katika muktadha huu)

sasa usiniulize kama huo usalama upo au la......😕
 
tricky tricky... channels za UwT wanataka nakala ya ripoti hii ASAP... kwamba kuna "kazi" wangetaka waifanyie.. well the law of unintended consequences... je wachangie.. wapewe bure... wapatiwe waipitia kabla ya kuirusha.. total dilemma..!
Kwa nini wasiandae ya kwao?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…