Ha ha hivyo hivyo tu, tunafinyanga vyukusikukuuu zamakafiri kesho zinaanza😂😂😂
Hivi waaarabu weusi bila ukoloni mngeujua uislamu watu wa pwani shida yao ni Elimu tusikukuuu zamakafiri kesho zinaanza[emoji23][emoji23][emoji23]
Dini ni mitazamo tu, kikubwa sisi ni watanzania, tupeane support kwenye hali zote kama tusivyo bagua misiba basi tusibague sherehe pia, ukialikwa #KAFINYE TUHivi waaarabu weusi bila ukoloni mngeujua uislamu watu wa pwani shida yao ni Elimu tu
kabala hamjanivamia: MIMI SINA DINI
Mwambie na kitimoto tamu tunakula pia.Naye ajumuike nasi tena ale ile ya mafuta mafuta ata enjoyHa ha hivyo hivyo tu, tunafinyanga vyuku
dah leo nimepiga kazi Sana navibarua wangu.mmoja anaitwa joni mwingine ana.hapa nimechoka balaa. vibarua wangu nimewaacha wanamalizia kazi.napunzika ijumaatu.nasikikuu zakiislamu.Brooo, eti tamuuuuu anakukaribisha mbuzi katoliki😋😋😋
Eti umepiga kazi na John, kama ni joni sawa...dah leo nimepiga kazi Sana navibarua wangu.mmoja anaitwa joni mwingine ana.hapa nimechoka balaa. vibarua wangu nimewaacha wanamalizia kazi.napunzika ijumaatu.nasikikuu zakiislamu.
The same to you.Wadau wote wa jukwaa la uchumi, wapambanaji wote, waumini wote wa kesho bora, wafuasi wa mawazo chanya, timu ya JF na wadau wengine , kwa niamba ya film Evigt_water tunawatakia christmas njema na mwaka mpya wenye furaha.
Bila kuwasahau wateja waliotusupport kufika tulipo,ASANTENI SANA.
View attachment 2456887View attachment 2465163