Merry Christmas

Brain 0

Member
Joined
Dec 18, 2018
Posts
18
Reaction score
14
Ukijaaliwa uzima na afya,Karibu uje ule sikukuu ya X-mas nyumbani kwangu. Ila
Jitahidi uje na
Sukari kilo 1,
Mchele kilo 2,
Mafuta ya kupikia lta 2,
Ndiz mbivu za kutosha,
Nyama (steki) kg 6,
Kuku wa kienyeji 2,
Mayai tray 1,
Maziwa lita 4,
Chumvi kg 1
Viungo vya pilau
Tafadhal ucsahau kuja na matunda aina mbalimbal,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huuu mwaliko huu nahisi apa tunaokuja kushare Ni stroy tu na nkikuletea nakuja nawenzangu Saba na kila nlicholeta lazima tule wote tuliokuja[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]
 
Mhhh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…