Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwakeKata ya Nkoaranga Kijiji cha Nshupu tumeshinda kitongoji kimoja tayari na wakala wa ccm amekimbia na kura zilizopigwa tayari tumeamishia nguvu na jeshi la Polisi wamekuja na tayari matokeo yamebandikwa.
Soma Pia: Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Hiki chama ni Kishindo cha Wakoma😅😅😅Hongera CDM
Hii ndio hofu ya CcmKata ya Nkoaranga Kijiji cha Nshupu tumeshinda kitongoji kimoja tayari na wakala wa ccm amekimbia na kura zilizopigwa tayari tumeamishia nguvu na jeshi la Polisi wamekuja na tayari matokeo yamebandikwa.
Soma Pia: Special Thread: Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Yap yapHiki chama ni Kishindo cha Wakoma😅😅😅
Mmetimiza wajibu wenu wa kirai japo kwa mbinde sana.Kata ya Nkoaranga Kijiji cha Nshupu tumeshinda kitongoji kimoja tayari na wakala wa ccm amekimbia na kura zilizopigwa tayari tumeamishia nguvu na jeshi la Polisi wamekuja na tayari matokeo yamebandikwa.
Pamoja na mabox ya kura fake za ccm bado Wanaume wameshindaWamepataje ushindi na wanasusa?
Aisee hata kama ni mmoja ujumbe umefikaHongeren
Utaratibu ni kamba moja nyepesi sana......muda si mrefu utakatika.Chadema wanashinda kwa kura nyingi sana,hii inamaanisha kwamba hiki chama kina nguvu sana,ila utaratibu wa chaguzi zetu ndiyo unakiangusha Chadema.
Utaratibu ni kamba moja nyepesi sana......muda si mrefu utakatika.Chadema wanashinda kwa kura nyingi sana,hii inamaanisha kwamba hiki chama kina nguvu sana,ila utaratibu wa chaguzi zetu ndiyo unakiangusha Chadema.