NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,313
Nililetewa meseji na rafiki yangu tarehe 31.12.2010
"umesikia habari za ajali mbaya ya rafiki yako?tupo hospital docta katuambia hawezi kupona, watu hawaamini ,wengine wanalia , mie binafsi machozi yananitoka, alikuwa muhimu sana kwangu, anatutoka kwa wakati usio muafaka, imagin alivyokuwa karibu yetu siamini kama kweli sitamwona tena marehemu mtarajiwa mwaka 2010"
Imekaaje kwa sisi wagonjwa wa moyo?
Je wewe ulipata meseji gani?
"umesikia habari za ajali mbaya ya rafiki yako?tupo hospital docta katuambia hawezi kupona, watu hawaamini ,wengine wanalia , mie binafsi machozi yananitoka, alikuwa muhimu sana kwangu, anatutoka kwa wakati usio muafaka, imagin alivyokuwa karibu yetu siamini kama kweli sitamwona tena marehemu mtarajiwa mwaka 2010"
Imekaaje kwa sisi wagonjwa wa moyo?
Je wewe ulipata meseji gani?