britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Chura kiziwi ndiyo kwanza anamkumbatia na kuwatolea maneno ya kifedhuli nchi wahisani kwa concern yao juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu.Hii ilikuwa ni message kubwa sana, ila hadi leo imechukuliwa kirahisi. JPM aliielewa vizuri ndiyo maana akamwambie akachukue form ya ubunge, halafu akammwaga mazima, huku Ole Sendeka, Mrisho Gambo na Pastory Katambi wakipeta tena kwa mbeleko ya refa
View attachment 3145167
Ni yeye alikuwa Mkurugenzi wa CIA toka January 2017 hadi April 2018 alipoteuliwa kuwa Secretary of State mpaka 2021.Hivi pompeo huyu alishawahi kuwa mkuu wa CIA au ni majina kufanana
Duh!Ni yeye alikuwa Mkurugenzi wa CIA toka January 2017 hadi April 2018 alipoteuliwa kuwa Secretary of State mpaka 2021.
Ndio.Hivi pompeo huyu alishawahi kuwa mkuu wa CIA au ni majina kufanana
Mshangazi unawashwa, hujakunwa ukakunikaHadi Pompeo anamjua Makonda!!
Kweli dunia ni kijiji
Huyu Pompeo awasiliane na Lissu ili ajifunze kutochezea wembe
pompeo amekaa muda mrefu bila ajira dah, maisha bana 🐒Hii ilikuwa ni message kubwa sana, ila hadi leo imechukuliwa kirahisi. JPM aliielewa vizuri ndiyo maana akamwambie akachukue form ya ubunge, halafu akammwaga mazima, huku Ole Sendeka, Mrisho Gambo na Pastory Katambi wakipeta tena kwa mbeleko ya refa
View attachment 3145167
Lakini pamoja na yote hayo kato aliliwa kichwa!Hii ilikuwa ni message kubwa sana, ila hadi leo imechukuliwa kirahisi. JPM aliielewa vizuri ndiyo maana akamwambie akachukue form ya ubunge, halafu akammwaga mazima, huku Ole Sendeka, Mrisho Gambo na Pastory Katambi wakipeta tena kwa mbeleko ya refa
View attachment 3145167
Amenusa mkeka mpya,Wataka kumaanisha nini mazee?
Ndo huyu huyuHivi pompeo huyu alishawahi kuwa mkuu wa CIA au ni majina kufanana