Meseji yazua balaa

Sawa mkuu..
Nakubaliana nawe
na kama umesoma poster
zangu vizuri utangundua
Nilichosema ni kama ulichoandika
hapo juu.. lala salama..
 

AD,kiukweli ktk uhusiano wetu huwa hatuna ugomvi kabisa wa aina hii,ni miaka mitano sasa tangu niwe nae japo huko nyuma tulikua pamoja lakini kuokana na mimi kusoma kuna wakati tulipoteza contact then baadae ndo tukakutana tena. yy ndo alikua bf wangu wa kwanza toka nilipokua bint .
 
ni wivu tu ndo unaomsumbua hakuna kingine hapo msihangaishe vichwa vyenu wivu ni mbaya sana
 
Kwa kweli anawivu si mchezo huyo, mkioana ataweza kukudunda ngumi etc

Inabidi muongee na umweleze usijifanye mbabe mapenzi yakavunjika huu ndio muda wa kurekebishana tabia itawasaidia mbeleni

Pia sio vizuri kumwonyesha mwanaume kuwa huna kazi ingine ni yeye tu 1st ndio unamuamkia usiku wa manane. Weka muna kulala etc

N.b. Kuwa macho pia unaweza kuta kuna mtu anamwambia mambo juu yako na inambadili mawazo hii ni kuicheck out as imetokea watu na wanagundua wakati mambo yameisha
 
Unajua watu usema maneno uumba. Katika yote aliyokwambia hilo la kusema "kuna watu wa maana sana zaidi yako" lifanyie kazi. Na ameshalisema hawezi kurudisha mdomoni. Utaishi nalo hilo milele kuwa wewe si chochote si lolote.

Nakushauri hata mki reconcile from now on kuwa aware jamaa anaweza kukupiga chini any time t.

Kwanza uhusiano wa muda mrefu una uzuri na ubaya wake. Uzuri ni kuwa mnafahamiana vizuri. Ubaya ni kuwa mnakuwa hamna tofauti na wana ndoa. Mnachokana.

Sasa dada akili kumukichwa! Pili wapendwa tuwe makini na kauli. Tufikiri sana kabla ya kuropoka! Hilo neno ningeambiwa mimi lingeniumiza forever!
 

nakubali nilifanya kosa la kutoweka limit ya muda wa kulala,huwa tunaweza chat hata sms 100 kwa siku na wakat mwingine hadi usiku wa manane. Sijui kama itakua rahisi ku undo this habit.
 

thx nyumba kubwa,kweli linaniumiza sana kichwa hilo neno. Asubuhi kanitext nikamwambia alichoniambia last nite,ila amekataa akasema eti mi sikumwelewa hakusema hivyo.
 
ni wivu tu ndo unaomsumbua hakuna kingine hapo msihangaishe vichwa vyenu wivu ni mbaya sana

sasa wivu wann,he knows me better kuliko mtu yoyote. Am proud of myself kuwa huwa si mtu wa macho juu juu.
 
Huyo jamaa hajiamini na ana dalili za kuwa abuser. Ongea nae hasira zikimuisha ujue kama ni hilo tu au kuna jingine? Be extra careful dear.
 
Mpenzi wako mmeoana ki ndoa au ndio hiyo BF/GF? Kama ni bf/gf unataka tukupe ushauri wa kufanya zinaa? Ushauri wangu ni kuwa muoane haraka sana na msiishabikie zinaa.
 
thanx dia,nimemwacha maana nimejaribu kumwelewesha the whole situation kua nilipitiwa na usingizi lakini hanielewi.

Wasiwasi, labda huwa maisha yako yanamtia wasiwasi na mashaka ya kutojiamini kuwa ni yeye tu.
 

graca huyo anatingisha kiberiti, kula kimya kuonesha you dont care, atakumiss.
 
inaonekana kuwa aonavyo yeye ni kuwa hukupashwa kuwa naye ndio maana anasema kuna wengine wa maana zaidi yako.Hivyo kwa hali hiyo anataka uwe kama askari kusikiliza kile anachokuambia kwa njia ya simu mda wote.Inaonekana hataki wewe ulale,hata hivyo kwa nini akuweke busy kiasi hicho angali hata hajajitambulisha kwenu?.Nionavyo mimi ni kuwa either ana mtu mwingine hivyo ili usigundue anatafuta namna ya kujificha kwenye hasira za kutengeneza ili usije mkamata kwenye cheating anayofanya.
 
graca huyo anatingisha kiberiti, kula kimya kuonesha you dont care, atakumiss.


unajua nini kiongozi

wakati mwingine situation inaweza kuwa the opposite

kwamba kwa vile mtu keshajua unampenda, u have stayed together na kadhalika.....anaanza taratibu kupunguza attention kwenye mambo ya msingi kama mawasiliano, mfano mtu unaweza kuwa umempigia, umemtext nk lakini hakuna majibu na excuse ikawa simple kwamba 'simu ilikuwa silent' and the like, but u may have the feeling (sio kuwa insecure kama wengine walivosema hapa) kwamba hii ni kwamba mtu haipi uzito unaostahili...

Graca hivi umesema kuwa ni first time hii inatokea? Ulimwelezaje (kwa lugah gani) kwamba ulikuwa umelala so hukuona text yake? manake hii inachangia

Wito wangu kwa mlio kwen mahusiano, thamini sana mawasiliano....ukiamua kupiga kimya for some reasons mwenzio akapiga kimya pia basi hapo kutokuelewana kunaanza.
 
huyo jamaa hajiamini na ana dalili za kuwa abuser. Ongea nae hasira zikimuisha ujue kama ni hilo tu au kuna jingine? Be extra careful dear.

thx dia,i will do that.
 
wasiwasi, labda huwa maisha yako yanamtia wasiwasi na mashaka ya kutojiamini kuwa ni yeye tu.

huo wasiwasi unatokana na nn mbona mm cna mabadiliko yoyote kwake? Mh kazi kweli.
 
graca huyo anatingisha kiberiti, kula kimya kuonesha you dont care, atakumiss.

kama ulikua kichwani mwangu,nimeamua kuwa kimya tu nione mwisho wake japo naumia sanaaa.
 

leo asb alinitext nikamkumbusha akasema eti labda ckumwelewa,nimeamua kumkaushia tu nione mwisho wake.
 

kiukweli kaizer nilimwambia kuwa sor nilipitiwa na usingizi maana nilitoka kazini hoi sana,sasa saa mbili tu nikapitiwa usingizi,akatuma sms ndo nikaona afta 30mins
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…