HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Nov 26, 2019 #41 Kumbe we dume Mrs Bishanga said: Bebii nikuombe kitu " network ya tpesa inasumbua naomba nije unipatie laki moja hapo nikamlipe fundi " Hapo bado unatongoza kumbuka hujajibiwa..... Click to expand...
Kumbe we dume Mrs Bishanga said: Bebii nikuombe kitu " network ya tpesa inasumbua naomba nije unipatie laki moja hapo nikamlipe fundi " Hapo bado unatongoza kumbuka hujajibiwa..... Click to expand...
Mrs Bishanga JF-Expert Member Joined Jun 30, 2013 Posts 1,002 Reaction score 2,278 Nov 26, 2019 #42 Root said: Kumbe we dume Click to expand... Jaman me nawasaidia kuwawekea vile vinawakera tu Ila me jike la mbegu
Root said: Kumbe we dume Click to expand... Jaman me nawasaidia kuwawekea vile vinawakera tu Ila me jike la mbegu
Iblis Bin Shetan JF-Expert Member Joined Sep 24, 2018 Posts 1,824 Reaction score 2,445 Nov 26, 2019 #43 Kwa sasa hivi siitaji kuwa ktk mahusiano kiufupi siitaji mpenzi Yaan muda mwingine wanaboa sana maisha bila mapenzi yataenda vipi huyo Adam kiumbe wa kwanza kaambiwa asile tunda na akala itakuwa ww haaa
Kwa sasa hivi siitaji kuwa ktk mahusiano kiufupi siitaji mpenzi Yaan muda mwingine wanaboa sana maisha bila mapenzi yataenda vipi huyo Adam kiumbe wa kwanza kaambiwa asile tunda na akala itakuwa ww haaa
Smart Guy JF-Expert Member Joined Dec 19, 2016 Posts 6,808 Reaction score 6,934 Apr 3, 2020 #44 AsajizzleDaGreat said: Aah..hii sio ishu tena hii.Ishapatiwa ufumbuz tayar Click to expand... Ufumbuzi..ni upi mwamba?
AsajizzleDaGreat said: Aah..hii sio ishu tena hii.Ishapatiwa ufumbuz tayar Click to expand... Ufumbuzi..ni upi mwamba?
RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 Apr 3, 2020 #45 "Wewe sio type yangu" hii ilinifanya nijiangalie juu mpaka chini
Stephen Ngalya Chelu JF-Expert Member Joined Oct 31, 2017 Posts 8,252 Reaction score 18,335 Apr 4, 2020 #46 Mimi: Nakupenda sana ujue, nahitaji uwe mpenzi wangu Yeye: πππππππ chelu hadi wewe, kweli dunia inakaribia kwisha Mimi: ( nazima data, nazima simu , nazima taa, napanda kitandani lakini silali. Nawaza kwani amenionaje mimi) πππππ
Mimi: Nakupenda sana ujue, nahitaji uwe mpenzi wangu Yeye: πππππππ chelu hadi wewe, kweli dunia inakaribia kwisha Mimi: ( nazima data, nazima simu , nazima taa, napanda kitandani lakini silali. Nawaza kwani amenionaje mimi) πππππ